jerry joshy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 402
- 504
basi utarudi wwMdee, Bulaya, Mnyika, Lema
basi utarudi wwMdee, Bulaya, Mnyika, Lema
Kweli Kabisa Mkuu.Tukimpumzika ramli tunaanza umbea
ndiyobasi utarudi ww
acha umbeyaaaMbunge Ester matiku wa Tarime mjini...naskia kazi yake ni kutoa maji ya kunywa misibani tu...huko anaeza someshwa namba
Kijana wa lumumbaMdee, Bulaya, Mnyika, Lema
Kura zenu 2 tu.Ndiyo, lakini sasa hampigii.
Na mimi simpigii kura.
sijawahi hata kupasikiaKijana wa lumumba
Hizi ramli kwa Halima zilizuwepo hata uchaguzo wa 2015,akawatoboa hivyo hovyo na ramli zenu!Ndiyo, lakini sasa hampigii.
Na mimi simpigii kura.
Tukimpumzika ramli tunaanza umbea
Mitazamo na bashasha vinaonyesha.sijawahi hata kupasikia
Halima mdee nawe hawez rudi,binafsi nimechoka michezo yake hamna LA mana afanyalo yy kazi ugomvu,hatujamtuma ugomvi.
Mnyika John harudi
Uyu jamaa anaitwa lwakatare wa bukoba mjini(chadema) hawez kurudi
Halima mdee nawe hawez rudi,binafsi nimechoka michezo yake hamna LA mana afanyalo yy kazi ugomvu,hatujamtuma ugomvi.
Kwa hiyo wabunge waleta fujo tuwafagilie hivyo hivyo tu?Mitazamo na bashasha vinaonyesha.
shauku ya kutaka kuona nayo yadhihirisha, ujasiri wa bandiko lako vyote vinaeleza. Kazi njema.