Wabunge wenye hali mbaya "Uchaguzi 2020"

Mbunge Ester matiku wa Tarime mjini...naskia kazi yake ni kutoa maji ya kunywa misibani tu...huko anaeza someshwa namba
 
Hahahaaaa yaani hao uliowataja posibiliti ya kurudi ni ndogo sanaaa kwani thithi tuliwachagua ili wakatuletee maendeleo majimboni kwetu kwa kujenga hoja bungeni lakini wao kila siku wanaenda kutoa matusi bungeni ili watolewe bungeni na baadaye ukikaribia uchaguzi waje wajifanye tulipambana ndio manana tulikua tunatolewa kumbe ujinga mtupu thithi hatukiwachagua ili mkatukane bunge bali kujenga hoja zenye mashiko kwa wote
 
Back
Top Bottom