Wabunge wanne wajiunga na ACT - Wazalendo

Wabunge wanne wajiunga na ACT - Wazalendo

sasa Kama hayupo tayari kuwataja now,si angesubiri mudabmuafaka!
kwanza bunge lishavunjwa hao ni raia wa kawaida tu,hawana impact yoyote kwenye siasa,na usishangae wamejipima huko walikokuwa wameona watakatwa tu.

Huo ndio ukweli mkuu
 
Mbowe ni mlafi sana yaani anataka kuvuta bil 10 halafu aifate misukule yake aijaze maneno nakuendelea kuiburuza!!
Ugeweka vizuri habari ya mbowe kupokea mpunga kwa lowasa ieleweke.
 
Mimi mwenyewe ni mbunge na nakwenda act hesabuni 5 tayari
 
Act tulikadharau na kuona kama ka kikundi ka watu wachache lakini kila siku kanazidi kuimarika .

Chacha tusipokuwa makini tutabaki wa kaskazini tu.
 
Hawa ACT wawaache tu, sisi tuko busy kugombea nafasi ya urais tu, mbowe kishatuzunguka kavuta mpunga kwa lowassa amuuzie chama, kweli siasa za kibongo hazina maana kabisa

Wanavitumia vyama vyao kupiga pesa kwa kisingizio watatetea mambo yenu ila hatujiulizi pesa anazohongwa Mbowe zitalipwaje na kutoka wapi
 
Wanachama,wafuasi wa cdm na act mnamatatizo sana!badala wafuasi wa ccm ndio wabishane na kulalamika nyie ndio mnabishana na kupingana!!wanahama toka ccm wanaenda vyama pinzani, kuhama kunapunguza nguvu ya ccm na inatakiwa chadema au act wafurahi badala yk mnalumna na kubishana..
 
Niliwahi sema kua chadema hakuna democrasia ya kweli bali ni genge la wachache la kujipatia pesa...

Watakuwa wanakigoma hao. Simiyu Madiwani 10 toka CCM na UDP wamejiunga na CHADEMA!
 
Walisema 60, siyo 50. Pia wakasema Lowassa anajiunga nao. Namsikitikia Moses Machali kama amejiunga na wasaliti ACT, amechagua garasa. Bora Shibuda kaenda tawi lingine la CCM, yaani TADEA, kawaepuka ACT na Ayatollaak wao Zitto.

yaani wewe badala ya kusikitikia umaskini wako unao kulaza njaa ubamsikitikia machali mwenye maisha yake yaliyostawi
 
Mwingine ni CHIKU ABWAO aliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA iringa!
 
Lowassa fisadi mbowe fisadi sishangai Hapo, mchukueni tu mbona mnapiga ramli wiki nzima sasa?

Mr. Hero;
Kweli nimekufurahia sana sana. Machali kuhamia ACT ni sahihi kabisa japo akijua vizuri kuwa hao ni masaliti wakuu wa upinzani. Hili ni wazi ila kwako ni safi sana.
Lowasa akitoka ccm na kuhamia Chadema, ni ufisadi umeenda kwa mafisadi. Hivyo ulitaka huyo fisadi aende ACT au? ili tuu isiwe nongwa?? Jamani acheni ujuha. Kama Lowasa akiamua kwenda popote, aende msimgawie chama, wala yeye hataki kukugawia chama. Utakapo kua kidogo utoto wa siasa utakuacha
 
Wabunge wanne? Majina? Siyo 50 tena? Wasaliti bana.
Bavicha mtajuta kumfahamu Zitto Teh Teh
Walisema 60, siyo 50. Pia wakasema Lowassa anajiunga nao. Namsikitikia Moses Machali kama amejiunga na wasaliti ACT, amechagua garasa. Bora Shibuda kaenda tawi lingine la CCM, yaani TADEA, kawaepuka ACT na Ayatollaak wao Zitto.

waende tu kwani kuama na kuhamia ndiyo demecrasia, hila hawa wasaliti sijui kama watabadilika.
 
Last edited by a moderator:
Yatupasa tubashili hiv hawa wanne wanao hamia act walio tajwa na machali tofauti na wale 50 wa zito watakuwa wakinani?
 
Back
Top Bottom