Na predict waha wote watahamia act
Sio rahisi kama unavyodhani,ACT ikijitahidi sana itakuwA na wabunge watatu tubado 45 naamini ACT itakuwa na wabunge zaidi ya 10 bunge lijalo
Halafu ktk bunge la kwanza tuu waanze vita na ayaoutoullah..atakapoanza wapeleka ktk siasa za kangaroo za kurukaruka kwa kasi kiasi cha wao kushindwa jua wanaimba sauti gani.Aanza washutumu kutumika na maadui zake..aanze lia kwa nini CDM hawamwachi kwa amani.Sio rahisi kama unavyodhani,ACT ikijitahidi sana itakuwA na wabunge watatu tu
Machari asahau kabisa kurud tena bungeni, coz ameongeza ushindani usio wa lazima jimbon kwake, ikumbukwe kua ccm wanalihitaji sana hilo jimbo na kama kahama ukawa bac na ukawa wanahitaji sana hilo jimbo pia, na wasaliti mara nyingi njia yao ni fupi ameshindwa kuona mwisho mwanzo
una uhakika na ulichoandika?Kama unavyoburuzwa na mbowe ,unadhani kila mtu anaburuzwa tu
wewe ni mkigoma au unataapika tu hapa?acha kuweweseka wewe, kigoma hawaburuzwi bali wanaamua na si kwa kufuata mkumbo tu kibubusa
Duh! Ni wabunge 4 tena sio 50?
Na predict waha wote watahamia act
Bunge limevunjwa hao no RAIA Wa kawaida tu
Zito ndio Raisi wa kigoma popote alipo wananchi wa kigoma tupo.
Hatuyumbishwi chadema na nccr tumewaachia watu wa kaskazini.
Tuliipokea vizuri nccr, tukaipokea vizuri chadema sasa tumechoka kuburuzwa,ni zamu ya chama cha ukombozi wa kweli,
ACT WAZALENDOOOOOOOOOO.
Sidhani kama hata Felix Mkosamali anaweza kuhamia kwenye hiyo takataka!wewe ni mkigoma au unataapika tu hapa?
Kwa mujibu wa Naibu Katibu mkuu wa ACT- Wazalendo akiongea na Clouds Fm Amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka watakapopokelewa katika majimbo yao.
Pia Naibu Katibu mkuu huyo amesema Kuhusu Moses Machali aliyekuwa mbunge NCCR mageuzi tayari amejiunga rasmi na chama hicho.