Wabunge wanne wajiunga na ACT - Wazalendo

Wabunge wanne wajiunga na ACT - Wazalendo

Nadhani ni sahihi kusema waliokuwa wabunge kwa maana sasa hivi bunge limevunjwa hivyo hatuna wabunge
 
yaani wewe badala ya kusikitikia umaskini wako unao kulaza njaa ubamsikitikia machali mwenye maisha yake yaliyostawi

Amestawi kwa lipi mkuu?! Hii ni akili ya ajabu sana, yaan mtu akiwa mwanasiasa tayari amestawi?!
 
Bunge si limeshavunjwaa? So hakuna mbunge tena hapo..wote ni watu wa kawaida...labda mngesema waliokuwa wabunge fulani...hapo tungewaelewa
 
Back
Top Bottom