Hao wabunge 150 waliyo nyuma ya mh. Nao hawana uhakika wa kurudi bungeni, kama mnabisha wahamie ACT wazalendo au kokote kule muone kama watachomoa. Nawashauri watulie tu CCM waendelee kupata mkate wa kila siku kwa familia zao. Vinginevyo maumivuuu.
hahaa huyu mbona ana kiingereza kizuri sana ..Subiri aje Magufuli unaweza kukata roho kwa mshtuko
Duh! Ni wabunge 4 tena sio 50?
hahaa huyu mbona ana kiingereza kizuri sana ..Subiri aje Magufuli unaweza kukata roho kwa mshtuko
Acha kujitoa ufahamu...
JK alihutubia Bunge...Hakuvunja Bunge...
Ukomo wa wabunge utakuwa tarehe 20 Agosti, 2015....Tangazo la kuvunja Bunge litatolewa kwenye gazeti la serikali...
Pia aliye kuwa mwnyekiti Wa Nccr vijana Bw
.Deo Meck Na msanii Mohamad aka "FRANK" wamethibitishwa kujiunga Na ACT. TEAM WAZALENDO
Tatizo la act ziko mbili hivi unawashauri wajiunge act ipi?
Tusha wazoea kwa uongo wenu.labda mumchukue lowassa ndio bendera upepo.zitto mwenyewe hana uhakika wakushinda ubunge
Zitto alisema wapo 50 nasubili!
Hongera sana
Definetly! Kumuondoa zitto was suicidal! Cdm is no more. more to happen come October finale!
Zzk labda udiwani wa mwandiga
Zito soon anajoin Ukawa katika sura nyingine kabisa...
Hii imekaaje, ACT wakiwachukua wabunge kutoka vyama vya upinzani mnashangilia, ati ACT waache tu, lakini UKAWA wakitaka kumchukua Lowassa inakuwa Mbowe keshatuzunguka na kuchukua mpunga. Ama kweli kutawaliwa na akili ndogo ni shida. Lowassa ana watu wanaomuunga mkono si chini ya milioni mbili na wabunge wa CCM zaidi ya mia na hamsini. Unamkataaje mtu mwenye mtaji wa wapiga kura zaidi ya milioni mbili na wabunge zaidi ya mia na hamsini. Ukimkataa mtu wa jinsi hiyo utakuwa kichaa.
Niliwahi sema kua chadema hakuna democrasia ya kweli bali ni genge la wachache la kujipatia pesa...
Wabunge wanne? Majina? Siyo 50 tena? Wasaliti bana.
WAZALENDO ongea tena