Kaazi kwelikweli.Hata wewe mleta mada una akili za kushikiwa kiasi hiki!Unapoleta mada hii Tz kuna mtu yeyote ambaye ni mbunge au bunge tayari limeshavunjwa ambapo tafsiri yake hakuna mbunge aliye-active.Uyo Musa Machali amejiuzulu ubunge kwa tkt ya NCCR?Amka jitambue.Kwa mujibu wa naibu katibu mkuu wa ACT akiongea na Clauds Fm Amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka atakapo pokelewa katika majimbo yao.
Pia naibu katibu mkuu huyo amesema Kuhusu Moses Machali aliyekuwa mbunge NCCR tayari amejiunga rasmi na chama hicho.
Hawa ACT wawaache tu, sisi tuko busy kugombea nafasi ya urais tu, mbowe kishatuzunguka kavuta mpunga kwa lowassa amuuzie chama, kweli siasa za kibongo hazina maana kabisa
Kwa mujibu wa naibu katibu mkuu wa ACT akiongea na Clauds Fm Amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka atakapo pokelewa katika majimbo yao.
Pia naibu katibu mkuu huyo amesema Kuhusu Moses Machali aliyekuwa mbunge NCCR tayari amejiunga rasmi na chama hicho.
Bunge limevunjwa hao no RAIA Wa kawaida tu
Hawa ACT wawaache tu, sisi tuko busy kugombea nafasi ya urais tu, mbowe kishatuzunguka kavuta mpunga kwa lowassa amuuzie chama, kweli siasa za kibongo hazina maana kabisa
Kwani walikwambia hao wabunge 50 wanakuja wote kwa pamoja taratibu utaona na idadi itazidi
Hata wewe utakuja tu,sasa utakubali kubaki pekee yako kwenye hiyo Saccos coz wengine wameshaanza xafari kutoka misri kwenda nchi ya ahadi
Lowassa fisadi mbowe fisadi sishangai Hapo, mchukueni tu mbona mnapiga ramli wiki nzima sasa?
Hivi JK si alivunja bunge? sasa hawa wabunge ni wa bunge lipi?
kiswahili kigumu sana,sema waliokuwa wabunge wanne kati yao wamejiunga act,bunge lilishaunjwa lile
Bunge linavunjwa tarehe 20 August.
Kwa mujibu wa naibu katibu mkuu wa ACT akiongea na Clauds Fm Amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka watakapopokelewa katika majimbo yao.
Pia naibu katibu mkuu huyo amesema Kuhusu Moses Machali aliyekuwa mbunge NCCR tayari amejiunga rasmi na chama hicho.