palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
Hivi JK si alivunja bunge? sasa hawa wabunge ni wa bunge lipi?
Hata wewe utakuja tu,sasa utakubali kubaki pekee yako kwenye hiyo Saccos coz wengine wameshaanza xafari kutoka misri kwenda nchi ya ahadi
kwa mujibu wa naibu katibu mkuu wa act akiongea na clauds fm amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka atakapo pokelewa katika majimbo yao.
Pia naibu katibu mkuu huyo amesema kuhusu moses machali aliyekuwa mbunge nccr tayari amejiunga rasmi na chama hicho.
Kwamba majina hatayataja kwa sasa kwa vile ameyasahau. Hawa jamaa sio kabisa, ni bora kujiunga na kikundi cha Mdumange utaburudisha roho.Hahahahaaa eti Zitto!!!
Kitu ulichsahau ni kuwa bunge limeshavunjwa
Walisema 60, siyo 50. Pia wakasema Lowassa anajiunga nao. Namsikitikia Moses Machali kama amejiunga na wasaliti ACT, amechagua garasa. Bora Shibuda kaenda tawi lingine la CCM, yaani TADEA, kawaepuka ACT na Ayatollaak wao Zitto.
kiswahili kigumu sana,sema waliokuwa wabunge wanne kati yao wamejiunga act,bunge lilishaunjwa lile
Maneno mengine kwa busara tu, muwe mnayaepuka kuyasema!! Mlikuwa mnawaambia CUF maneno ya namna hii, leo eti mnawaita wapiganaji!!! Kutakuwa na nati hazijakaza vyema pahala.
Wanakuja kwa awamu mkuu siyo kwa mkupuo hivyo vuta subira
Definetly! Kumuondoa zitto was suicidal! Cdm is no more. more to happen come October finale!
Hivi JK si alivunja bunge? sasa hawa wabunge ni wa bunge lipi?
Kiingereza kibovu kabisa hicho nyie niwale mnaosoma 1-vi kwa miaka miwili Nn?
kiswahili kigumu sana,sema waliokuwa wabunge wanne kati yao wamejiunga act,bunge lilishaunjwa lile
Tanzania kuna mbunge hata mmoja au kuna waliokuwa wabunge.Bunge limeshavunjwa ndo maana hata waliokuwa wabunge wameshachukua fomu kugombea.Wabunge wanne? Majina? Siyo 50 tena? Wasaliti bana.