johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,956
- 141,942
Sijasikia mbunge yoyote wa viti maalum kutoka CHADEMA au CUF aliyehamia CCM, ndipo sasa najiuliza why?
Yawezekana sijafuatilia vizuri, mwenye pingamizi Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Yawezekana sijafuatilia vizuri, mwenye pingamizi Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!