Wabunge wa Mbeya hatujasikia kelele zenu juu ya barabara zetu mbovu Bungeni

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
Wabunge wetu mlioko Bungeni, Dodoma mnaotoka Mbeya.

Mtajionyesha umahiri wenu toka siku ya kwanza kabisa bungeni, lakini umahiri huo hatuuoni.
Kero kubwa za Mbeya, kwanza ni barabara.

Main road ya Tanzania kwenda Zambia ni mbaya sana, ukiingia Mbeya mjini malori ya mixigo mizito inapishana na bajaji.
Barabara inabidi ipanuliwe kuwa 4way two lanes, na service rd.

Barabara ya Katumba-Lwangwa- Mbambo-Masoko-Tukuyu umekuwa wimbo wa kasuku.

Barabara ya Mbalizi Makongolosi hivyo hiyo.

Wabunge wetu mna fanya nini?

Miaka mitano si mingi, nanyi mnatujua wananchi wenu huku mkoani tunavyojua kuwageuka tukiona hamfanyi kitu.
Hili ni angalizo.

LEO BUNGENI:
Asante Tulia, unasema yote.
 

Attachments

  • VID-20210517-WA0059.3gp
    9.1 MB · Views: 1
Wabunge wetu mlioko Bungeni, Dodoma mnaotoka Mbeya.

Mtajionyesha umahiri wenu toka siku ya kwanza kabisa bungeni, lakini umahiri huo hatuuoni.
Kero kubwa za Mbeya, kwanza ni barabara.

Main road ya Tanzania kwenda Zambia ni mbaya sana, ukiingia Mbeya mjini malori ya mixigo mizito inapishana na bajaji.
Barabara inabidi ipanuliwe kuwa 4way two lanes, na service rd.

Barabara ya Katumba-Lwangwa- Mbambo-Masoko-Tukuyu umekuwa wimbo wa kasuku.

Barabara ya Mbalizi Makongolosi hivyo hiyo.

Wabunge wetu mna fanya nini?

Miaka mitano si mingi, nanyi mnatujua wananchi wenu huku mkoani tunavyojua kuwageuka tukiona hamfanyi kitu.
Hili ni angalizo.
Hata barabara ya Tanzam ambayo ni barabara kuu kuanzia Igawa hadi unaingia Mbeya ni mahandaki matupu, karibu tutaanza kufuga kambale hakika inakera sana, akinaSugu na wenzake walikuwa wanakazana kujenga hoteli zao na kudai respect wakati walikuwa hawafanyi lolote bungeni, inabidi wabunge wa mkoa wa Mbeya waamuke sasa.
 
Barabara za Tanroad kama sijakosea sio ishu ya kibunge, ni mipango/ilani ya chama chako cha CCM 'bwana macho kwenye ubondo'...

Mfano hiyo barabara ya TAN - ZAM haswa kipande mbele kidogo tu ya Igawa hadi Mbeya (Nsalagha), nadhani ni moja ya barabara mbovu kupindukia za mkoa hadi mkoa kwa sasa...

Ile barabara ina mashimo shimo, ukiwa waendesha gari ni mwendo wa kudance tu ama kupiga mashimo, ukifika mlima nyoka napo kuna mifereji lami imebonyea bonyea hovyo...
 
Hata barabara ya Tanzam ambayo ni barabara kuu kuanzia Igawa hadi unaingia Mbeya ni mahandaki matupu, karibu tutaanza kufuga kambale hakika inakera sana, akinaSugu na wenzake walikuwa wanakazana kujenga hoteli zao na kudai respect wakati walikuwa hawafanyi lolote bungeni, inabidi wabunge wa mkoa wa Mbeya waamuke sasa.

Kweli kabisa. Sugu alipokuwa waziri wa ujenzi hakuangalia mkoa wake.

Amandla....
 
Mbalizi hadi Mkwajuni, si Makongolosi
Wabunge wetu mlioko Bungeni, Dodoma mnaotoka Mbeya.

Mtajionyesha umahiri wenu toka siku ya kwanza kabisa bungeni, lakini umahiri huo hatuuoni.
Kero kubwa za Mbeya, kwanza ni barabara.

Main road ya Tanzania kwenda Zambia ni mbaya sana, ukiingia Mbeya mjini malori ya mixigo mizito inapishana na bajaji.
Barabara inabidi ipanuliwe kuwa 4way two lanes, na service rd.

Barabara ya Katumba-Lwangwa- Mbambo-Masoko-Tukuyu umekuwa wimbo wa kasuku.

Barabara ya Mbalizi Makongolosi hivyo hiyo.

Wabunge wetu mna fanya nini?

Miaka mitano si mingi, nanyi mnatujua wananchi wenu huku mkoani tunavyojua kuwageuka tukiona hamfanyi kitu.
Hili ni angalizo.
 
Back
Top Bottom