masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Wabunge wetu mlioko Bungeni, Dodoma mnaotoka Mbeya.
Mtajionyesha umahiri wenu toka siku ya kwanza kabisa bungeni, lakini umahiri huo hatuuoni.
Kero kubwa za Mbeya, kwanza ni barabara.
Main road ya Tanzania kwenda Zambia ni mbaya sana, ukiingia Mbeya mjini malori ya mixigo mizito inapishana na bajaji.
Barabara inabidi ipanuliwe kuwa 4way two lanes, na service rd.
Barabara ya Katumba-Lwangwa- Mbambo-Masoko-Tukuyu umekuwa wimbo wa kasuku.
Barabara ya Mbalizi Makongolosi hivyo hiyo.
Wabunge wetu mna fanya nini?
Miaka mitano si mingi, nanyi mnatujua wananchi wenu huku mkoani tunavyojua kuwageuka tukiona hamfanyi kitu.
Hili ni angalizo.
LEO BUNGENI:
Asante Tulia, unasema yote.
Mtajionyesha umahiri wenu toka siku ya kwanza kabisa bungeni, lakini umahiri huo hatuuoni.
Kero kubwa za Mbeya, kwanza ni barabara.
Main road ya Tanzania kwenda Zambia ni mbaya sana, ukiingia Mbeya mjini malori ya mixigo mizito inapishana na bajaji.
Barabara inabidi ipanuliwe kuwa 4way two lanes, na service rd.
Barabara ya Katumba-Lwangwa- Mbambo-Masoko-Tukuyu umekuwa wimbo wa kasuku.
Barabara ya Mbalizi Makongolosi hivyo hiyo.
Wabunge wetu mna fanya nini?
Miaka mitano si mingi, nanyi mnatujua wananchi wenu huku mkoani tunavyojua kuwageuka tukiona hamfanyi kitu.
Hili ni angalizo.
LEO BUNGENI:
Asante Tulia, unasema yote.