Nilitaka kusema haya...kwan kina falviana kazi yao iwe nn sasa? Kina stara thomas je?😅..tale alete mifuko ya cement hukoAibu niliona mimi.
Angemtuma hata wema .
Kwani kutoa Taulo za Kike ( Sanitary Towels / Pads ) kwa Mabinti wa Shule wenye Changamoto za Kiuchumi katika kuzipata siyo Jambo jema na hata la Ustawi wa Kimaendeleo kwa Wanafunzi hao?Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla.
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.
Babu Tale amesema msaada huo utakuwa endelevu kila watakapozihitaji na kumpa taarifa kwa miezi 6.
Babu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.
Maendeleo hayana vyama!
Tulizana, usiwazungumzie wa mjini, Babu Tale ni mbunge wa huko Morogoro Kusini.Ukiona binti wa kike anasema hajaensa shule kisa kakosa pedi charaza mboko...muongo huyo anatafuta sababu..ss enzi zetu je wangekuwepo ingekuwaje? Na hakukua na mtu alobak domitory kisa anableed
NafahamuTulizana, usiwazungumzie wa mjini, Babu Tale ni mbunge wa huko Morogoro Kusini.
Bila picha ya ushahidi hapa tunachukulia hii ni vita baridi dhidi yakeabu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.
Maendeleo hayana vyama!
hakuna nchi isiyo na masikini dunianiHivi umasikini utaisha lini Tanzania na kila mpiga kura ni masikini na kibatizwa myonge. Hi Tabia naisikitikia sana Tengeneza Tatizo tatua tatizo ili uinekane wa maana.
sizani kama umenielewa, kwani nimesema huwa wanashindwa kwenda shule? Nimesema wazazi hawana uwezo wa kuwanunulia watoto pedi kila mwezi hivyo mana kwanza unakuta mtu ana watoto 3 au 4 wakike ni ngumu kuweza kumudu kuwanunulia pedi kila kwenzi, hao watoto inawalazimu kutumia vipande vya vitambaa ambavyo kiukweli vinaweza visiwe salama sana kwa afya yao ya viungo vya uzazi kulingana na kwamba unahitajika usafi wa hali ya juu kuvitunza hivyo vitambaa, Pedi ni salama. Alafu huwezi kulinganisha msaada wa pedi na wa kujenga librabry, kwahiyo kama hana uwezo huo ndo asitoe msaada kabisa?Hata mm nimesoma vijijini interior kbs...lakini hao hao mnaowatetea wananunua wanja pico,carolite hizo hela wanapata wapi? Enzi unasoma ww uliwah kuona kuna wanafunzi hawaend shule kisa yuko mp amekosa "madaso"au pedi? Mitoto imedekezwa balaa...bora wangehakikisha kila shule ila Lab!
Sifa za mbunge.Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla.
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.
Babu Tale amesema msaada huo utakuwa endelevu kila watakapozihitaji na kumpa taarifa kwa miezi 6.
Babu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.
Maendeleo hayana vyama!
Mbona miaka hii taulo za kike imekuwa ni issue kuuubwa, kwani miaka ya huko nyuma wadada na wamama walikuwa hawapati hedhi?Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla.
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.
Babu Tale amesema msaada huo utakuwa endelevu kila watakapozihitaji na kumpa taarifa kwa miezi 6.
Babu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.
Maendeleo hayana vyama!
Na tulimaliza shule fresh tu...angalia mpk.leo watoto kibao wanakaa chini..why wasitoe madawatiMbona miaka hii taulo za kike imekuwa ni issue kuuubwa, kwani miaka ya huko nyuma wadada na wamama walikuwa hawapati hedhi?
Ndugu yangu imekuwaje ukala ban moja tamu sana?🤣🤣🤣Watoto wanahitaji pedi au vifaa vya shule?
Kweli tubadilike mkuu,ila najiuliza Mimi kama Mimi sijawahi kuwaza hata Siku moja kwamba watoto wadogo wa kike wako desperate na taulo.Badilika mkuu wajali watoto wa kike
Haaaa.Ndugu yangu imekuwaje ukala ban moja tamu sana?🤣🤣🤣
Anyway pole san