Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
Hii thread yangu imeshachakachuliwa kwa kuwa moved.

Huu utaratibu wa kuunga thread sometimes una bore sana.

Unaondo ladha kabisa.

Muda wa kuanzisha uzi una uzito wake.Hawa mods inabidi wawe trained kufanya hii kazi kwani nahisi kuna skills wanakosa katika utendaji wao wa kazi.

Swala la kuunga thread kweli lipo lakini si kitu cha kukariri tu bila kuangalia athari za tofauti ya muda.

Kuna member akiona thread ni ya muda mrefu anakosa hamu hata ya kuipitia kumbe thread mpya iliyounganishwa ilikuwa na jipya(mawazo tofauti kulingana na nyakati).

Kumtaka mtu asome thread ya mwaka juzi ni sawa na kumtaka mtu anunue gazeti la mwaka jana ili alisome kitu ambacho hakina ushawishi.

Mimi nafikiri kama kuna tofauti kubwa ya muda, mods wanaweza tu kuweka link ya thread ya zamani katika thread mpya na si kama hivi wanavyofanya.

Inawezekana leo kwangu wako sahihi ila watakuwa sahihi kila siku na kwa kila uzi wanaounganisha?

Huu ni ushauri na mtazamo wangu kwa mods wetu.

Naweza nisiwe sahihi lakini sidhani kama nitakuwa wrong asilimia mia moja.
 
Wengine hata hawasikiki nimewasikia hapa leo. Nyambari Nyangwine huyu ni publisher!! Wengi wao wanasinzia bingeni na picha zipo.
 
Mbowe atapoteza ubunge na urais hapati, slaa ataponea chupuchupu kukosa ubunge. wengine watakao poteza ubunge ni Lema.
Lissu
Mnyika
 
Wanajamvi,
Kutokana na bunge letu kutawaliwa na ngojera na mipasho ni dhahiri kwamba kutakuwa na lundo la wambunge ambao hawatarudi bungeni 2015. Mfano hai wa kundi hili ni Juma Kamia, Shibuda, John Komba. Hawa ni maarufu kwa mipasho zaidi ya Khadija Kopa. Kwa heshima na taadhima naomba iongezeeni list hii ndefu. Kwa manufaa ya kuujuza uma ni vyema kutaja sababu zitakazopelekea kutokurudi kwao..!
Tatizo ni ushabiki usio na tija...kwa wendo huu wapinzani wanajidanganya sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom