Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
Wanajamvi,
Kutokana na bunge letu kutawaliwa na ngojera na mipasho ni dhahiri kwamba kutakuwa na lundo la wambunge ambao hawatarudi bungeni 2015. Mfano hai wa kundi hili ni Juma Kamia, Shibuda, John Komba. Hawa ni maarufu kwa mipasho zaidi ya Khadija Kopa. Kwa heshima na taadhima naomba iongezeeni list hii ndefu. Kwa manufaa ya kuujuza uma ni vyema kutaja sababu zitakazopelekea kutokurudi kwao..!

juma nkamia hatorudi kwasababu zifuatazo:
1. Si mkazi wa jimbo na wilaya ya CHEMBA kwa sasa ingawa hapa jf mpo mtakaoona hiyo sio sababu lakini watu wa Kondoa kusini [Chemba] ni sababu.
2. Upuuzi na njama alizofanya ili umeme usielekezwe kwenye tarafa za FARKWA na KWAMTORO na badala yake akafanya hila nguzo zielekee Kijiji cha Kingale alikozaliwa.
3. wananchi wa kwamtoro, banguma, bubutole, farkwa ndoroboni, doyo,maeneo mengine wanalalamika shida ya maji
 
Yaani serugamba ndo jina lake la kim a gamba
Mkuu fisi umeniacha hoi hahahaha
Hahahahaaa..... umeniacha hoi, kumbe Serugamba ndiyo jina linalomfit huyo jamaa, ambalo ndiyo limekaa kimagamba magamba?!
 
Mwigulu nchemba hatorudi endapo prof kitila atahamia ccm
 
Hahahahaaa..... umeniacha hoi, kumbe Serugamba ndiyo jina linalomfit huyo jamaa, ambalo ndiyo limekaa kimagamba magamba?!

Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
 
35. Abdalah mteketa, kilombero

Huyo hata kura za maoni hana nafasi Kwani ni Tapeli sana amekuwa akimsadia mama Rwakatare kuwanyang'anya watu viwanja vyao mfano kuna mzee yupo kawe mteieta alichukua pesa kwa mama Rwakatare kwa nia ya kumlipa lakini akala hiyo pesa kisha akaanza kumtisha na huyo mzee amebakia akimulilia mama Rwakatare pasipo msaada.
 
Komba kwa 100% hawezi kuludi hata akiwa na Kontena sita za Noti za 10,000 na akagawa pesa Wilaya nzima, Mr Bonge a.k.a mzee wa Michechepuko na Mzee wa Msituni . Mzee wa kukurupuka, huyu hafai hata kuwa Mjumbe wa nyumba kumi kumi.
 
Lema,mnyika Kiwia selasini na Mm Zhao hawatarudi na kama kufanya vizuri hujaweka bayana kwenye maeneo gani
 
Unachokifanya wewe n ushabiki 2 hapo! watarud tena kwa kishindo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom