Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,209
- 162,786
Shukuru Kawambwa na Komba wapo kwenye hiyo list ila Makinda hatagombea tena.... Shukuru Kawambwa, Komba,, Makinda
Shukuru Kawambwa na Komba wapo kwenye hiyo list ila Makinda hatagombea tena.... Shukuru Kawambwa, Komba,, Makinda
Nchemba mwigulu yatamtokea puani
Freeman Aikaeli Mbowe hata adhikiri uchi
Mwache kabisa Mdee, Kura tutampa kama njugu vile
Asante. Tuko pamoja mkuu
Shukuru Kawambwa na Komba wapo kwenye hiyo list ila Makinda hatagombea tena.
Jitu Patel wa babati vijijini
...Babati mjini kashakimbia !!!!
Mkuu, mlengwa hapa ni Godfrey Mgimwa kwani huyu hata huo uchaguzi alipita kwa mbinde kurithi nafasi ya marehemu baba yake.Mgimwa wapo wawili Mahmoud Mgimwa na Godfrey Mgimwa Wewe unamaanisha yupi?
Umemsahau mbunge wangu Ole Medeye, huyu hata akipita bila kupingwa harudi.
mbona hujamtaja Mchungaji Msigwa. Mr II, na Lema au umewalenga wa CCM pekee
Umesema kweli mkuu, ukiwategemea watu wa Dar ndiyo walete mageuzi hapa nchini, tunaweza hata kuyasubiria hayo mageuzi hata kwa miaka 100 ijayo!Watu wa Dar hawaeleweki na hao jamaa wanaweza rudi japo ni wabovu ila Makongoro Mahanga hawezi rudi labda kwa ujanja ujanja tu.