Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
Eustance Katagira - Kyerwa
Gozbert Blandes - Karagwe
Ntukamazina - Ngara
Bukwimba - Busega
Nyangwine -Tarime
Kagasheki - bukoba mjini
Jason Rweikiza -BKB Vijijini
 
Zitto wala hatagombea na ameahidi hilo tangu mwaka juzi.

hawa wanasema hivi mara nyingi,lakini mwisho wa siku wanarudi na kuwaambia wananchi kwamba wazee wameniomba nigombee tena,mbunge huwa haachi ,mbunge anng`olewa,tukisema tuanzishe thread ya wabunge walioacha ubunge kwa hiari yao hawafiki hata kumi,hata hao walioacha walisoma nyakati,wengi wamengolewa na wananchi
 
Wewe mleta post unawivu binafsi pia hata uwezo wako wa kufikiri umedumaa, Unahakika gani kuwa wabunge uliowataja hawatashinda ubunge mwaka 2015?, Ngojera unadai wanazitoa sisi hatuzijui, Wewe ndiyo mtunzi wa ngojera na unazisoma na kuzipost JF kama ulivyofanya. Wewe Mbwa kasoro mkia. Endelea kubweka usiku na mchana.
 
wenje.
Tundulisu
mnyika.
Nassary
MSIGWA
KIWIA.
hao wameponzwa na dhambi mmoja tuu ya kuwa sehemu ya maamuzi ya kijuha na propaganda za kijinga zidi ya zitto na ikumbukwe kwamba hao wengi walipa ubunge kupitia jina la chadema na kupitia kupotea kwa umaarufu wa chadema mbele ya wananchi basi hao watapoteza majimbo.

WATU WATASHANGAA SANA MAANA 2015 CHADEMA BADALA YA KUONGEZA IDADI YA WABUNGE ITAPUNGUA.

WATALIA NA KUSAGA MENO.
TENA HAO WAKINA WENJE NDIO WALA WASIFIKIRI KABISA KUHUSU UBUNGE.

Wana dhambi sana waliokuharibu utotoni, ona sasa hata akili zako ni za wivu wa kike:der:
 
Hii ni orodha ya wabunge ambao endapo watathubutu kugombea ubunge hawawezi kuchaguliwa kutoka na ku-perform chini ya kiwango labda kwa hila ndio wanaweza kushinda katika uchaguzi mkuu ujao.

Hawa ndio wenyewe:
1.Assumpter Mshana
2.Hawa Ghasia
3.John Cheyo
4.Augustine Mrema
5.John Shibuda
6.John Komba
7.Prof.Msolla
8.Steven Wassira
9.William Lukuvi
10.Samweli Sitta
11.Makongoro Mahanga
12.Abbas Mtemvu
13.Job Ndugai
14.Livingstone Lusinde
15.Richard Ndassa
16.Said Nkumba
17.Ezekiel Maige
18.Andrew Chenge
19.William Ngeleja
20.Mfutakamba
21.Adam Malima
22.Aden Rage
23.Suleiman Nchambi
24.Said Arfi
25.Pro.Juma Kapuya
26.Mathayo David
27.John Chiligati
28.Shukuru Kawambwa
29.Mulugo
30.Prof.Maghembe
31.Hamad Rashidi
32.Mama Sitta
33.Lucy Nkya
34.Godfrey Mgimwa
35.Emmanuel Nchimbi
36.Mathias Chikawe.
37.Fenera Mkongoro
38.Festus Limbu.
39.Nyambari Nyangwine
40.Nimrod Mkono(huyu kurudi au kutorudi ni 50 kwa 50)
41.Dr.Mwakyembe(huyu nae ni 50 kwa 50)
42.Dr.Peter Kafumu
43.Cellina Kombani.

Wabunge wengi wa CCM wa mikoa ya Mtwara na Morogoro hawatarudi bungeni.

Hao ni baadhi ambao naamini hawawezi rudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu na baadhi yao wataishia kushindwa kwenye kura za maoni tu.

Natabiri uwezekano wa kulazimika kuwa na serikali ya mseto baada ya uchaguzi mkuu ingawa nadhani hili ni swala la kikatiba.

Yaliyotokea Zanzibar hayako mbali kutokea na huku bara.

Upinzani unakua kwa kasi ili hali CCM nayo inaporomoka kwa speed ya rocket.
 
mbona hujamtaja Mchungaji Msigwa. Mr II, na Lema au umewalenga wa CCM pekee
 
Hii ni orodha ya wabunge ambao endapo watathubutu kugombea ubunge hawawezi kuchaguliwa kutoka na ku-perform chini ya kiwango labda kwa hila ndio wanaweza kushinda katika uchaguzi mkuu ujao.

Hawa ndio wenyewe:
1.Assumpter Mshana
2.Hawa Ghasia
3.John Cheyo
4.Augustine Mrema
5.John Shibuda
6.John Komba
7.Prof.Msolla
8.Steven Wassira
9.William Lukuvi
10.Samweli Sitta
11.Makongoro Mahanga
12.Abbas Mtemvu
13.Job Ndugai
14.Job Lusinde
15.Richard Ndassa
16.Mbunge wa Sikonge
17.Ezekiel Maige
18.Andrew Chenge
19.William Ngeleja
20.Mfutakamba
21.Adam Malima
22.Aden Rage
23.Suleiman Nchambi
24.Said Arfi
25.Pro.Juma Kapuya
26.Mathayo David
27.John Chiligati
28.Shukuru Kawambwa
29.Mulugo
30.Prof.Maghembe
31.Hamad Rashidi
32.Mama Sitta
33.Lucy Nkya
34.Mgimwa

Hao ni baadhi ambao naamini hawawezi rudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu na baadhi yao wataishia kushindwa kwenye kura za maoni tu.

Umemsahau na huyu hayawani Asneen Murji (mtwara mjini)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom