mwandenuka
New Member
- Jun 17, 2015
- 4
- 0
Jamani nina swali. Kuna uhusiano upi Kati ya kugombea nafasi ya ubunge na makazi? Naamanisha naweza kugombea ubunge katika jimbo ambalo sijazaliwa wala sijawahi kuishi? Na kama hairuhusiwi kugombea nafasi hiyo ni kifungu kipi kimeandika hicho kitu?