Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
Jamani nina swali. Kuna uhusiano upi Kati ya kugombea nafasi ya ubunge na makazi? Naamanisha naweza kugombea ubunge katika jimbo ambalo sijazaliwa wala sijawahi kuishi? Na kama hairuhusiwi kugombea nafasi hiyo ni kifungu kipi kimeandika hicho kitu?
 
Namshangaa sana huyu Momose Cheyo John sijui bado anatutakia nini Itilima na tuliamua kumpa 2010 ili amalizie akapumzike sasa anakuja tena. Tutawapa Chadema na siyo UDP tena. Martini Makondo ana bahati katoroka CCM kwenda Chadema akipitishwa tutampa ubunge hawa CCM lazima walipe dhambi ya kuibia watu pesa za pamba (Nasikia hata Njalu pamoja na kuwakopa pesa na kuuza mbegu feki naye eti anataka ubunge...ataaibika)
 
4,5,6 ni pumba tupu.

Nakubaliana na wewe; lakini kwa maoni yangu of the lot of CCM MP's; angalau hawa huwa wana ujasiri; japo mara moja moja wa kukataa misimamo ya kijinga ya caucus za kichama; Guys give credit where it is due! blanket assessments provide shody conclusions which unfortunately do not serve any purpose!!
 
Deo Sanga (CCM-Njombe kaskazini) huyu hafai kurudi Bungeni,tumechoka kuwakilishwa na mtu asijua chochote kuhusu Bunge zaidi ya kunengua tu
 
Jamani nina swali. Kuna uhusiano upi Kati ya kugombea nafasi ya ubunge na makazi? Naamanisha naweza kugombea ubunge katika jimbo ambalo sijazaliwa wala sijawahi kuishi? Na kama hairuhusiwi kugombea nafasi hiyo ni kifungu kipi kimeandika hicho kitu?

Ubunge ni uwakilishi wa wananchi,sasa we unataka umuwakilishe nani?
 
Kama hyo jamii inanikubali japo sio mzawa na wala sijawahi kuishi je katiba inaniruhusu. Mfano Zito kabwe kugombea kigoma mjini japo si mkazi wa kigoma mjini je katiba ina mruhusu?
 
ww tuliaa bunge bila zitto ni sawa na basi bila derevaa. mambo hayaendii. uwepo wa zitto bungeni ni muhimu kuliko unavyofikiriaa. watz wote wenye mapenzi mema na tz tunahitaji mmoja wapo wa wabunge watakao rudi bungeni na zitto awepoo

Mkuuu hao wapuuzi wangekuwa na uwezo wa kumtoa roho zitto wangefanya lkn wapi. Hawajui umuhim wa zitto hao mazwazwa
 
MNYIKA ameshindwa kutuletea maji ubungo

mnyika alete maji ubungo anakusanya kodi serikali ya ccm ndio imeshindwa kuwaletea maji wa tanzania licha ya kuwakamua kodi kila siku na ndio maana inatatikiwa itoke
 
lowasa hajawahi kuchangia chochote. Yeye zinachangia pesa. Huyu hafai hata udiwani!

dewjii singida mjini hajawahi kuchangia chochote ama kwa kuandika au kuongea miaka yote toka 2000
 
Ametiwa ndani jioni hii huko arusha. Ananyea debe sa iv. Nawaomba polisi wamtoe baada ya zoezi la kuandikisha kwisha. Apelekwe kisongo na atakayeandamana wavunjwe miguu.

We mngese kabisa
 
Je wabunge gani ambao unawaona watapeperusha bendera zao kwa mara nyingine na Wabunge ambao unaona hawata rudi tena bungeni kwa maana wamechokwa na wananchi wao! karibu
 
Katika bunge la kumi yapo mambo mengi yalijitokeza mabaya na mazuri.Ila kuna wabunge walikuwa ndani ya bunge lile,Na ukijiuliza aliingia je mule jibu lake linakuwa zito kidogo.
Na hawa ni wabunge ambao nisingependa kuwaona tena Bungeni ni pamoja na
Asumpta Mshama
Sophia Simba
Peter Serukamba naye hakuna kitu
Livingstone Lusinde
Crily Chami
Agustino Mrema
Idd Azan
Samwel Sitta
Andrwe Chenge
Na wengine wengi wa Ccm,Ebu tuwaweke hapa wajijue walitukwaza na hatuwaitaji tena.
 
Kimsingi wabunge karibu wote wa CCM wanatakiwa wasirudi, maana kwa uwingi waliokuwa nao wametufikisha hapa, hata ile ndoto ya maisha bora kwa watanzania ikafutika.
Lakini pia watu kama kina John Shibuda hatakiwi kurudi maana anaangalia maslahi binafsi kuliko maslahi ya wananchi. Ni mnafiki, ndumilakuwili, nk.
 
Upo sahihi mkuu waseme wametuwakilisha vp bungeni ovyo kabisa Tena Lusinde sijui anatokea kijiji kipi ambao hawamuoni..kwenye TV
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom