Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
siipendi ccm lakini hapo kwa mwandosya umechemka! miuondombinu ya barabara, maji, shule, umeme hadi vijijini vinapatikana

Mkuu BARABARA ipi unayoizungumzia? Kama ni ya Tukuyu-Lwangwa unachekesha,, yani vumbi lote hilo utafikiri unapita jangwani,, UMEME shule gani? Lwangwa Sec. Vp kuhusu Bujesi, Mzalendo, Manow,Lwangaa Primary, Ikama,ndobo? Then jua kwa Mwandosya ni kijijini tene bush haswa,, sasa unaposema " maji, shule, umeme hadi vijijini vinapatikana" unamaana jimbo lake linaanzia mjini? Hahahahahahaha Tembea uone mengi, tembea uone Mwandosya asivofanya maendeleo ila anapendwa,, kaa ukijua anapendwa kwa sababu watu wa kule ni maskin wa kutupwa na hawajasoma hvo anawatawala atakavyo hivo kila akifanyacho wao huona ni kizuri,,
 
Wanajamvi,
Kutokana na bunge letu kutawaliwa na ngojera na mipasho ni dhahiri kwamba kutakuwa na lundo la wambunge ambao hawatarudi bungeni 2015. Mfano hai wa kundi hili ni Juma Kamia, Shibuda, John Komba. Hawa ni maarufu kwa mipasho zaidi ya Khadija Kopa. Kwa heshima na taadhima naomba iongezeeni list hii ndefu. Kwa manufaa ya kuujuza uma ni vyema kutaja sababu zitakazopelekea kutokurudi kwao..!

Hii ni orodha ya wabunge ambao endapo watathubutu kugombea ubunge hawawezi kuchaguliwa kutoka na ku-perform chini ya kiwango labda kwa hila ndio wanaweza kushinda katika uchaguzi mkuu ujao.

Hawa ndio wenyewe:
1.Assumpter Mshana
2.Hawa Ghasia
3.John Cheyo
4.Augustine Mrema
5.John Shibuda
6.John Komba
7.Prof.Msolla
8.Steven Wassira
9.William Lukuvi
10.Samweli Sitta
11.Makongoro Mahanga
12.Abbas Mtemvu
13.Job Ndugai
14.Livingstone Lusinde
15.Richard Ndassa
16.Said Nkumba
17.Ezekiel Maige
18.Andrew Chenge
19.William Ngeleja
20.Mfutakamba
21.Adam Malima
22.Aden Rage
23.Suleiman Nchambi
24.Said Arfi
25.Pro.Juma Kapuya
26.Mathayo David
27.John Chiligati
28.Shukuru Kawambwa
29.Mulugo
30.Prof.Maghembe
31.Hamad Rashidi
32.Mama Sitta
33.Lucy Nkya
34.Godfrey Mgimwa
35.Emmanuel Nchimbi
36.Mathias Chikawe.
37.Fenera Mkongoro
38.Festus Limbu.
39.Nyambari Nyangwine
40.Nimrod Mkono(huyu kurudi au kutorudi ni 50 kwa 50)
41.Dr.Mwakyembe(huyu nae ni 50 kwa 50)
42.Dr.Peter Kafumu
43.Cellina Kombani.

Wabunge wengi wa CCM wa mikoa ya Mtwara na Morogoro hawatarudi bungeni.

Hao ni baadhi ambao naamini hawawezi rudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu na baadhi yao wataishia kushindwa kwenye kura za maoni tu.

Natabiri uwezekano wa kulazimika kuwa na serikali ya mseto baada ya uchaguzi mkuu ingawa nadhani hili ni swala la kikatiba.

Yaliyotokea Zanzibar hayako mbali kutokea na huku bara.

Upinzani unakua kwa kasi ili hali CCM nayo inaporomoka kwa speed ya rocket.
 
wanajamvi,
kutokana na bunge letu kutawaliwa na ngojera na mipasho ni dhahiri kwamba kutakuwa na lundo la wambunge ambao hawatarudi bungeni 2015. Mfano hai wa kundi hili ni juma kamia, shibuda, john komba. Hawa ni maarufu kwa mipasho zaidi ya khadija kopa. Kwa heshima na taadhima naomba iongezeeni list hii ndefu. Kwa manufaa ya kuujuza uma ni vyema kutaja sababu zitakazopelekea kutokurudi kwao..!

wenje.
Tundulisu
mnyika.
Nassary
MSIGWA
KIWIA.
hao wameponzwa na dhambi mmoja tuu ya kuwa sehemu ya maamuzi ya kijuha na propaganda za kijinga zidi ya zitto na ikumbukwe kwamba hao wengi walipa ubunge kupitia jina la chadema na kupitia kupotea kwa umaarufu wa chadema mbele ya wananchi basi hao watapoteza majimbo.

WATU WATASHANGAA SANA MAANA 2015 CHADEMA BADALA YA KUONGEZA IDADI YA WABUNGE ITAPUNGUA.

WATALIA NA KUSAGA MENO.
TENA HAO WAKINA WENJE NDIO WALA WASIFIKIRI KABISA KUHUSU UBUNGE.
 
Hawa hapa listi yangu!
MAKONGORO- SEGEREA
IDDI AZZAN- KINONDONI
KOKA -KIBAHA TWN.
MBUNGE WA KIGAMBONI ETC.
 
Lusinde Jiwehai, Limbu, Kamani, Chenge, ngeleja, wassira, bukwimba, shibuda, Zitto na Nkamia
 
Katiba mpya inasema sifa ya mbunge awe na elim ya kidato cha 4 je wale yenye elim ya darasa la 7,form 2 utarud? labda wasome qt mwaka huu kabla ya 2015 hivi ni akina nan?
 
Zitto, Wassira, Lusinde, Makinda, Nchemba, Pinda, Nkono.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom