Wabeba mabegi mgongoni wanavyosumbua ndani ya daladala

Wabeba mabegi mgongoni wanavyosumbua ndani ya daladala

Wale wabeba mabegi ya ukwaju ndiyo unawazungumzia?
 
na mbaya zaidi mabegi hayo wakati mwingine hayana kitu!!! fashion!!
 
Mimi wanaonisumbua ni wale wanaocheza kwaito kwa makundi tukiwa club, unakuta kuna chombo nakifukuzia dancing floor kupenya inakua tabu kwasbabu ya wacheza kwaito.
 
Wanakela sana hivi mbona haya mambo hayakuwepo hapo siku za nyuma,sasa hivi MTU anabeba begi kumbe jioni mke wake anamuagiza aje na mazaga,wanaume tuna fail wapi?
Hata ndo madhara ya kuondoa mifuko ya Rambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom