dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,673
ndani kuna ganja - By Zilla
Wakuu poleni na kazi. Niende kwenye mada, kuna jamii kubwa kwa sasa, wake kwa waume wamekuwa wakibeba mabegi migongoni, siyo shida wala hakuna neno, ni vizuri pia.
Ila, baadhi yao, wanapoingia ndani ya daladala hawayakulii namna ya kuyabeba, bado wanakuwa nayo migongoni na mbaya zaidi, konda anataka kusimama wawili wawili, hapo ndipo shida hutokea.
Wawili waliosimama halafu wamepeana migongo yenye mabegi, kivumbi chake si cha kitoto. Hali hiyo huwafanya kuinamia mpaka kwa abiria waliokaa kwenye siti ambao nao hunesa mpaka kulaliana.
Nashauri, tukiingia ndani ya daladala mabegi tuyashikie kwa chini ili kuondoa kero kwa wengine.
Na kama hoja ni ile kauli ya 'ndiyo usafiri wetu ilivyo' basi sawa, acha tuteseke tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa tumekusikia, ila je vitendea kazi vyetu tuweke wapi? Maana mimi kwenye begi huwa nabeba mswaki, dawa ya meno, sabuni, taulo, boxer, nguo za akiba, note book, kalamu, laptop, charger ya simu, adapter ya laptop, nivea lotion, shavers, sabuni ya kuogea, sabuni ya kufulia, manila paper, vaseline, olive oil. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
We itakuwa kuna siku uliniona wakati natoa earphone zangu kwenye begi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Daah wale huwa wanataniwa sana na madereva wa daladala eti watajifungua lini?Wale wabeba mabegi ya ukwaju ndiyo unawazungumzia?
Utupu unaujua wewe!!Nilijua hoja ni begi,sikujua kama hoja ni utupu ama ujazo ndani yake
Hapana,unaujua weweUtupu unaujua wewe!!
Yaani hiyo huwa inaniboa kishenzi ila basi tu huwa nabaki na maumivu yangu kwa vile siwezi kujibu ufedhuli!
Daah wale huwa wanataniwa sana na madereva wa daladala eti watajifungua lini?
Mi sijui nafeli wapi, hata kama mtu akinikanyaga namuomba msamaha yeye! [emoji848][emoji848][emoji848]
Mi sijui nafeli wapi, hata kama mtu akinikanyaga namuomba msamaha yeye! [emoji848][emoji848][emoji848]
Wanao ona ni kero wanunue ya kwao bonafsi ili wawe wanainjoyWakuu poleni na kazi. Niende kwenye mada, kuna jamii kubwa kwa sasa, wake kwa waume wamekuwa wakibeba mabegi migongoni, siyo shida wala hakuna neno, ni vizuri pia.
Ila, baadhi yao, wanapoingia ndani ya daladala hawayakulii namna ya kuyabeba, bado wanakuwa nayo migongoni na mbaya zaidi, konda anataka kusimama wawili wawili, hapo ndipo shida hutokea.
Wawili waliosimama halafu wamepeana migongo yenye mabegi, kivumbi chake si cha kitoto. Hali hiyo huwafanya kuinamia mpaka kwa abiria waliokaa kwenye siti ambao nao hunesa mpaka kulaliana.
Nashauri, tukiingia ndani ya daladala mabegi tuyashikie kwa chini ili kuondoa kero kwa wengine.
Na kama hoja ni ile kauli ya 'ndiyo usafiri wetu ilivyo' basi sawa, acha tuteseke tu.
[emoji3][emoji3][emoji3] huyo mm kabisa, mapochi madogo huwa siyaelewiHalafu kuna akina dada nao wanabeba mapochi makuuuubwa kama wanahama vile. Unakuta kaning'iniza vizuri tu kwapani hilo pochi lake halafu kaliweka kichwani kwa abiria aliyekaa sasa anahangaika kulikwepa muda wote wa safari, hlf yanakuaga na ncha kali sasa likikugonga ni lazima usikilizie maumivu.
Usumbufu wote huo unakuta ndani ya begi kaweka earphones tu
We jamaa mjinga sana. ...😂😂😂😂Halafu kuna akina dada nao wanabeba mapochi makuuuubwa kama wanahama vile. Unakuta kaning'iniza vizuri tu kwapani hilo pochi lake halafu kaliweka kichwani kwa abiria aliyekaa sasa anahangaika kulikwepa muda wote wa safari, hlf yanakuaga na ncha kali sasa likikugonga ni lazima usikilizie maumivu.
Halafu kuna akina dada nao wanabeba mapochi makuuuubwa kama wanahama vile. Unakuta kaning'iniza vizuri tu kwapani hilo pochi lake halafu kaliweka kichwani kwa abiria aliyekaa sasa anahangaika kulikwepa muda wote wa safari, hlf yanakuaga na ncha kali sasa likikugonga ni lazima usikilizie maumivu.
Ndio usafiri public , ulivyo.Wakuu poleni na kazi. Niende kwenye mada, kuna jamii kubwa kwa sasa, wake kwa waume wamekuwa wakibeba mabegi migongoni, siyo shida wala hakuna neno, ni vizuri pia.
Ila, baadhi yao, wanapoingia ndani ya daladala hawayakulii namna ya kuyabeba, bado wanakuwa nayo migongoni na mbaya zaidi, konda anataka kusimama wawili wawili, hapo ndipo shida hutokea.
Wawili waliosimama halafu wamepeana migongo yenye mabegi, kivumbi chake si cha kitoto. Hali hiyo huwafanya kuinamia mpaka kwa abiria waliokaa kwenye siti ambao nao hunesa mpaka kulaliana.
Nashauri, tukiingia ndani ya daladala mabegi tuyashikie kwa chini ili kuondoa kero kwa wengine.
Na kama hoja ni ile kauli ya 'ndiyo usafiri wetu ilivyo' basi sawa, acha tuteseke tu.