Wabeba mabegi mgongoni wanavyosumbua ndani ya daladala

Wabeba mabegi mgongoni wanavyosumbua ndani ya daladala

Halafu kuna akina dada nao wanabeba mapochi makuuuubwa kama wanahama vile. Unakuta kaning'iniza vizuri tu kwapani hilo pochi lake halafu kaliweka kichwani kwa abiria aliyekaa sasa anahangaika kulikwepa muda wote wa safari, hlf yanakuaga na ncha kali sasa likikugonga ni lazima usikilizie maumivu.
[emoji3][emoji3][emoji3]bila shaka hii umeandika pochi likikuzonga zonga.

ninachojiuliza kwani hawaoni?&
 
Halafu kuna akina dada nao wanabeba mapochi makuuuubwa kama wanahama vile. Unakuta kaning'iniza vizuri tu kwapani hilo pochi lake halafu kaliweka kichwani kwa abiria aliyekaa sasa anahangaika kulikwepa muda wote wa safari, hlf yanakuaga na ncha kali sasa likikugonga ni lazima usikilizie maumivu.
Umeongea ukionesha una uzoefu wa kuumizwa na hayo mapochi.
Tutabadilika.
 
Nyie watubwakorofi sana. Mimi mwanangu alitoka chuo kaniletea begu na kunifundisha kubeba. Kwa sasa nikienda sokoni na wife nabeba na begiblangu. Naonekana Kijana sana. VIJANA huniambiaga huyu mbaba yupo kama Kijana. Naenjoy sana
 
Igweee......
Nadhani umekula kola nut wakati unaandika huu uzi.
Umechukua maneno yangu kiongozi yaani wewe utakua mjukuu wa mtu maarufu
 
huku kwetu sisi tunapambana na saflet na ndoo zilizobebea uono,
hio shombo
Ukishuka tuu kituoni mapaka yote yanakufuataa....
Waweza uitwe mchawi hvi hiv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom