NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Hakuna haja ya kumung'unya maneno, vitendo vinaongea na tunashuhudia kwa macho yetu kwamba jjamii hizo hukaa mbali kabisa na watanzania wa asili ya makabila ya hapa kwetu, wao huwa karibu zaidi na watu wa kuweka greese kwenye mambo yao pekee hasa viongozi wa juu tu ambao nao wakishamaliza muda wao hawana mda nao kama ganda la ndizi linavyotupwa.
Ni ngumu hata kuwakuta katika shughuli za jamii zinazojumuisha Watanzania wa asili.
Nilichokiona ni kwamba wao tayari wasahaona wapo kwenye nchi yenye watu ambao hawawezi kuwa hadhi yao, kwao wanatudharau kwa kutuona kwamba sisi hatuwezi kulingana nao.
Ni ngumu hata kuwakuta katika shughuli za jamii zinazojumuisha Watanzania wa asili.
Nilichokiona ni kwamba wao tayari wasahaona wapo kwenye nchi yenye watu ambao hawawezi kuwa hadhi yao, kwao wanatudharau kwa kutuona kwamba sisi hatuwezi kulingana nao.