Waandishi wa Habari Tanzania mna matatizo gani?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,411
WhatsApp Image 2024-02-20 at 08.56.26.jpeg


Maswali chechefu:
1. Je, gazeti la "Mwanahabari" ni la nani?
2. Je, mwandishi aliyemtaja Naibu Waziri Mkuu, Mhe Dotto Biteko, kama "BITOKE" alikuwa anamuwaza muigizaji EBITOKE?
3. Je, gazeti hili halina Mhariri?
4. Je, gazeti hili linajua kuwa linapaswa kumuomba radhi Mhe Biteko & "Bongolanderz" kwa ujumla ?

NB:
(a) Rais Mkapa:
"Huwa sipendi kuhojiwa na waandishi wa hapa nchini kwavile hawafanyi utafiti na wanauliza maswali ya hovyo yasiyo na msingi"

(b) Rais Kikwete:
"Waandishi wengi wa Tanzania ni makanjanja. Wapo ambao hawajasomea na wengine hawana weledi. Siku hizi mtoto akimaliza "Form 4" akakosa kazi kote, mzazi wake anamwambia "Huna namna, inabidi tu uwe Mwandishi wa habari". Hii si sahihi kwani uandishi wa habari ni "fourth estate". Ni kitu cha muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa"

(c) CJ Nyalali
"Waandishi wengi wanakosea sana uandikaji wa masuala ya kesi mahakamani na mara nyingi wanapotosha. Wahariri wahakikishe wanaleta mahakamani waandishi wenye uelewa kwani magazeti yao yanaweza kuchukuliwa hatua".

(d) Samwel Sitta
"Waandishi wawe makini kufuatilia Bunge. Uandishi wa upotoshaji habari za Bunge huko mbeleni unaweza kupelekea Wenye magazeti kuitwa na kuchukuliwa hatua na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge".

(e) Prof. Kabudi
"Mimi niliwahi kuwa Mwandishi wa habari. Waandishi wa enzi zetu ni tofauti kabisa na waandishi wa sasa. Waandishi wengi siku hizi wana uwezo mdogo. Siwabagazi kwani huo ndio ukweli. Kiongozi ukiongea leo, utashangaa kesho magazeti manne yana kichwa cha habari kinachofanana! Wanadeseana! Enzi zetu, Mhariri alikuwa anakuna kichwa kuwaza atokee "angle" gani. Aidha, siku hizi Kiongozi akitoa mada, waandishi hawawezi kabisa kuandika "Summary". Wanasubiri Kiongozi akiwa anatoka ukumbini kwenda kwenye gari lake na kuanza kumkibilia kama kibaka kisha wanamwambia "Mzee, Umesahau kutupa "Press Release". Hii si sawa. Tubadilike
"​
 
View attachment 2909686

Maswali chechefu:
1. Je, gazeti la "Mwanahabari" ni la nani?
2. Je, mwandishi aliyemtaja Naibu Waziri Mkuu, Mhe Dotto Biteko, kama "BITOKE" alikuwa anamuwaza muigizaji EBITOKE?
3. Je, gazeti hili halina Mhariri?
4. Je, gazeti hili linajua kuwa linapaswa kumuomba radhi Mhe Biteko & "Bongolanderz" kwa ujumla ?

NB:
(a) Rais Mkapa:
"Huwa sipendi kuhojiwa na waandishi wa hapa nchini kwavile hawafanyi utafiti na wanauliza maswali ya hovyo yasiyo na msingi"

(b) Rais Kikwete:
"Waandishi wengi wa Tanzania ni makanjanja. Wapo ambao hawajasomea na wengine hawana weledi. Siku hizi mtoto akimaliza "Form 4" akakosa kazi kote, mzazi wake anamwambia "Huna namna, inabidi tu uwe Mwandishi wa habari". Hii si sahihi kwani uandishi wa habari ni "fourth estate". Ni kitu cha muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa"

(c) CJ Nyalali
"Waandishi wengi wanakosea sana uandikaji wa masuala ya kesi mahakamani na mara nyingi wanapotosha. Wahariri wahakikishe wanaleta mahakamani waandishi wenye uelewa kwani magazeti yao yanaweza kuchukuliwa hatua".

(d) Samwel Sitta
"Waandishi wawe makini kufuatilia Bunge. Uandishi wa upotoshaji habari za Bunge huko mbeleni unaweza kupelekea Wenye magazeti kuitwa na kuchukuliwa hatua na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge".

(e) Prof. Kabudi
"Mimi niliwahi kuwa Mwandishi wa habari. Waandishi wa enzi zetu ni tofauti kabisa na waandishi wa sasa. Waandishi wengi siku hizi wana uwezo mdogo. Siwabagazi kwani huo ndio ukweli. Kiongozi ukiongea leo, utashangaa kesho magazeti manne yana kichwa cha habari kinachofanana! Wanadeseana! Enzi zetu, Mhariri alikuwa anakuna kichwa kuwaza atokee "angle" gani. Aidha, siku hizi Kiongozi akitoa mada, waandishi hawawezi kabisa kuandika "Summary". Wanasubiri Kiongozi akiwa anatoka ukumbini kwenda kwenye gari lake na kuanza kumkibilia kama kibaka kisha wanamwambia "Mzee, Umesahau kutupa "Press Release". Hii si sawa. Tubadilike
"​
Mhariri Mkuu alikuwa amelewa!
 
View attachment 2909686

Maswali chechefu:
1. Je, gazeti la "Mwanahabari" ni la nani?
2. Je, mwandishi aliyemtaja Naibu Waziri Mkuu, Mhe Dotto Biteko, kama "BITOKE" alikuwa anamuwaza muigizaji EBITOKE?
3. Je, gazeti hili halina Mhariri?
4. Je, gazeti hili linajua kuwa linapaswa kumuomba radhi Mhe Biteko & "Bongolanderz" kwa ujumla ?

NB:
(a) Rais Mkapa:
"Huwa sipendi kuhojiwa na waandishi wa hapa nchini kwavile hawafanyi utafiti na wanauliza maswali ya hovyo yasiyo na msingi"

(b) Rais Kikwete:
"Waandishi wengi wa Tanzania ni makanjanja. Wapo ambao hawajasomea na wengine hawana weledi. Siku hizi mtoto akimaliza "Form 4" akakosa kazi kote, mzazi wake anamwambia "Huna namna, inabidi tu uwe Mwandishi wa habari". Hii si sahihi kwani uandishi wa habari ni "fourth estate". Ni kitu cha muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa"

(c) CJ Nyalali
"Waandishi wengi wanakosea sana uandikaji wa masuala ya kesi mahakamani na mara nyingi wanapotosha. Wahariri wahakikishe wanaleta mahakamani waandishi wenye uelewa kwani magazeti yao yanaweza kuchukuliwa hatua".

(d) Samwel Sitta
"Waandishi wawe makini kufuatilia Bunge. Uandishi wa upotoshaji habari za Bunge huko mbeleni unaweza kupelekea Wenye magazeti kuitwa na kuchukuliwa hatua na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge".

(e) Prof. Kabudi
"Mimi niliwahi kuwa Mwandishi wa habari. Waandishi wa enzi zetu ni tofauti kabisa na waandishi wa sasa. Waandishi wengi siku hizi wana uwezo mdogo. Siwabagazi kwani huo ndio ukweli. Kiongozi ukiongea leo, utashangaa kesho magazeti manne yana kichwa cha habari kinachofanana! Wanadeseana! Enzi zetu, Mhariri alikuwa anakuna kichwa kuwaza atokee "angle" gani. Aidha, siku hizi Kiongozi akitoa mada, waandishi hawawezi kabisa kuandika "Summary". Wanasubiri Kiongozi akiwa anatoka ukumbini kwenda kwenye gari lake na kuanza kumkibilia kama kibaka kisha wanamwambia "Mzee, Umesahau kutupa "Press Release". Hii si sawa. Tubadilike
"​
Magazeti karibu yote yamekuwa ya kichwa, kwenye kurasa za mbele asilimia kubwa lazma me iwepo habari ya kumsifia Samia, huenda ni mpango wake wa 2025
 
Taaluma ya uandishi wa habari ni moja kati ya taaluma ambayo inatakiwa kufanyiwa reform hapa nchini vinginevyo itaendelea kuwa namba moja kwenye taaluma zilizopoteza weledi wa kazi na hii ni kutokana na mambo yafuatayo

1. Kuajiriwa kwa watangazaji na waandishi ambao hawajasomea kazi hiyo

2. Kuwepo kwa wahariri wavivu na wenye uelewa mdogo wa maudhui wanayo hariri.

3. Uwepo wa social media na online channels ambazo yoyote anaweza ku-post habari hii inaongeza chance ya upotoshaji kwani habari inatengenezwa kwa kuzingatia kupata likes na comment jambo ambalo linapelekea upotoshaji.

4. Serikali yenyewe ni tatizo na ina mchango wake katika kuibomoa taaluma hii kwani imekuwa ikitoa maelekezo ya nini kifanyike kwa vyombo vya habari, Bahati mbaya maelekezo yenyewe ni ya kichawa zaidi yaani kama vile kazi ya vyombo vya habari ni kuisifu serikali na kuimba mapambio kwa Rais. This is shame kwa wizara husika. BADILIKENI!
 
View attachment 2909686

Maswali chechefu:
1. Je, gazeti la "Mwanahabari" ni la nani?
2. Je, mwandishi aliyemtaja Naibu Waziri Mkuu, Mhe Dotto Biteko, kama "BITOKE" alikuwa anamuwaza muigizaji EBITOKE?
3. Je, gazeti hili halina Mhariri?
4. Je, gazeti hili linajua kuwa linapaswa kumuomba radhi Mhe Biteko & "Bongolanderz" kwa ujumla ?

NB:
(a) Rais Mkapa:
"Huwa sipendi kuhojiwa na waandishi wa hapa nchini kwavile hawafanyi utafiti na wanauliza maswali ya hovyo yasiyo na msingi"

(b) Rais Kikwete:
"Waandishi wengi wa Tanzania ni makanjanja. Wapo ambao hawajasomea na wengine hawana weledi. Siku hizi mtoto akimaliza "Form 4" akakosa kazi kote, mzazi wake anamwambia "Huna namna, inabidi tu uwe Mwandishi wa habari". Hii si sahihi kwani uandishi wa habari ni "fourth estate". Ni kitu cha muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa"

(c) CJ Nyalali
"Waandishi wengi wanakosea sana uandikaji wa masuala ya kesi mahakamani na mara nyingi wanapotosha. Wahariri wahakikishe wanaleta mahakamani waandishi wenye uelewa kwani magazeti yao yanaweza kuchukuliwa hatua".

(d) Samwel Sitta
"Waandishi wawe makini kufuatilia Bunge. Uandishi wa upotoshaji habari za Bunge huko mbeleni unaweza kupelekea Wenye magazeti kuitwa na kuchukuliwa hatua na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge".

(e) Prof. Kabudi
"Mimi niliwahi kuwa Mwandishi wa habari. Waandishi wa enzi zetu ni tofauti kabisa na waandishi wa sasa. Waandishi wengi siku hizi wana uwezo mdogo. Siwabagazi kwani huo ndio ukweli. Kiongozi ukiongea leo, utashangaa kesho magazeti manne yana kichwa cha habari kinachofanana! Wanadeseana! Enzi zetu, Mhariri alikuwa anakuna kichwa kuwaza atokee "angle" gani. Aidha, siku hizi Kiongozi akitoa mada, waandishi hawawezi kabisa kuandika "Summary". Wanasubiri Kiongozi akiwa anatoka ukumbini kwenda kwenye gari lake na kuanza kumkibilia kama kibaka kisha wanamwambia "Mzee, Umesahau kutupa "Press Release". Hii si sawa. Tubadilike
"​
Tarehe wameeandika 2025
 
Taaluma ya uandishi wa habari ni moja kati ya taaluma ambayo inatakiwa kufanyiwa reform hapa nchini vinginevyo itaendelea kuwa namba moja kwenye taaluma zilizopoteza weledi wa kazi na hii ni kutokana na mambo yafuatayo

1. Kuajiriwa kwa watangazaji na waandishi ambao hawajasomea kazi hiyo

2. Kuwepo kwa wahariri wavivu na wenye uelewa mdogo wa maudhui wanayo hariri.

3. Uwepo wa social media na online channels ambazo yoyote anaweza ku-post habari hii inaongeza chance ya upotoshaji kwani habari inatengenezwa kwa kuzingatia kupata likes na comment jambo ambalo linapelekea upotoshaji.

4. Serikali yenyewe ni tatizo na ina mchango wake katika kuibomoa taaluma hii kwani imekuwa ikitoa maelekezo ya nini kifanyike kwa vyombo vya habari, Bahati mbaya maelekezo yenyewe ni ya kichawa zaidi yaani kama vile kazi ya vyombo vya habari ni kuisifu serikali na kuimba mapambio kwa Rais. This is shame kwa wizara husika. BADILIKENI!
Swebe nae eti ni mtangazaji?
 
Back
Top Bottom