Waalimu mnapaswa kuandamana kudai pensheni kamili, kikokotoo kwenye pensheni ni udhalim. Ni aibu kwa serikali kuwekeza kwenye vifo vya watumishi wake!

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,824
18,568
Waalimu wa siku hizi hadi muambiwe kuwa hali za maisha yenu sio nzuri!? Juzi tu hapo serikali imekuja na kikokotoo cha pensheni za watumishi mkiwemo nyie waalimu. Watu mnakatwa pensheni yenu na mpo kimya tu?!

Pensheni ni mali yenu na sio msaada kutoka serikalini, mnapaswa kuelewa kuwa mmechangia pensheni hiyo kwa kukatwa kigogo kidogo kila mwezi na hivyo mnapostaafu mnapaswa kupewa hela yenu yoote na sio sehemu tu au kulipwa kidogo kidogo hadi mtakapokufa na inaishia hapo!

Na viongozi wetu pia muwe na weledi wa kutosha. Hivi kweli mnawekeza kwenye vifo vya watumishi wenu! Kwanini kutokumpa mtumishi pensheni yake yote anapostaafu? Mnakuja na mpango wa kumpa mtumishi kidogo kidogo hadi atakapokufa na malipo yanaishia hapo. Hamjui kuwa pensheni ni akiba waliyojiwekea watumishi wakati wakiwa wanafanya kazi na kwamba ni haki yao na wanapaswa kulipwa pensheni yao yote?

Mpango wa pensheni kwa kikokotoo ni serikali kukosa ubunifu wa kukusanya mapato na hivyo kuingilia pensheni za watumishi; hili ni kosa dhidi ya ubinadamu!

Lakini na nyie watumishi wa serikali mpo wapi? Au mnafikiri maandamo ni kwa ajili ya vyama vya upinzani tu?! Hivi waalimu wa siku hizi mnaweza kweli kuwafunza wanafunzi ujasiri, kupigania haki au upeo wowote kweli?!
 
Ungesema ni uzezeta wa vyama vya wafanyakazi na wafanyakazi wrnyewe. Mtu atakunyanga'nya vipi Hela Yako huku unaona!!!
 
Kwanini unawasema walimu tu wakati kikokotoo kinahusu watumishi wote? Je madaktari, askari, wahasibu nk wao hawatakiwi kuandamana?
 
Kwanini unawasema walimu tu wakati kikokotoo kinahusu watumishi wote? Je madaktari, askari, wahasibu nk wao hawatakiwi kuandamana?
Wanahusika wote wenye pension. Waalimu wanapaswa kuwa viongozi lakini waalimu wa siku hizi wamelala mno ndio maana ninawananga. Waalimu wamekuwa ndio kada isiyojielewa kabisa bora tena wafagiaji!
 
Waalimu wa siku hizi hadi muambiwe kuwa hali za maisha yenu sio nzuri!? Juzi tu hapo serikali imekuja na kikokotoo cha pensheni za watumishi mkiwemo nyie waalimu. Watu mnakatwa pensheni yenu na mpo kimya tu?!

Pensheni ni mali yenu na sio msaada kutoka serikalini, mnapaswa kuelewa kuwa mmechangia pensheni hiyo kwa kukatwa kigogo kidogo kila mwezi na hivyo mnapostaafu mnapaswa kupewa hela yenu yoote na sio sehemu tu au kulipwa kidogo kidogo hadi mtakapokufa na inaishia hapo!

Na viongozi wetu pia muwe na weledi wa kutosha. Hivi kweli mnawekeza kwenye vifo vya watumishi wenu! Kwanini kutokumpa mtumishi pensheni yake yote anapostaafu? Mnakuja na mpango wa kumpa mtumishi kidogo kidogo hadi atakapokufa na malipo yanaishia hapo. Hamjui kuwa pensheni ni akiba waliyojiwekea watumishi wakati wakiwa wanafanya kazi na kwamba ni haki yao na wanapaswa kulipwa pensheni yao yote?

Mpango wa pensheni kwa kikokotoo ni serikali kukosa ubunifu wa kukusanya mapato na hivyo kuingilia pensheni za watumishi; hili ni kosa dhidi ya ubinadamu!

Lakini na nyie watumishi wa serikali mpo wapi? Au mnafikiri maandamo ni kwa ajili ya vyama vya upinzani tu?! Hivi waalimu wa siku hizi mnaweza kweli kuwafunza wanafunzi ujasiri, kupigania haki au upeo wowote kweli?!
waache matutusa hao walabuliwe makofi tu.
 
Waalimu wa siku hizi hadi muambiwe kuwa hali za maisha yenu sio nzuri!? Juzi tu hapo serikali imekuja na kikokotoo cha pensheni za watumishi mkiwemo nyie waalimu. Watu mnakatwa pensheni yenu na mpo kimya tu?!

Pensheni ni mali yenu na sio msaada kutoka serikalini, mnapaswa kuelewa kuwa mmechangia pensheni hiyo kwa kukatwa kigogo kidogo kila mwezi na hivyo mnapostaafu mnapaswa kupewa hela yenu yoote na sio sehemu tu au kulipwa kidogo kidogo hadi mtakapokufa na inaishia hapo!

Na viongozi wetu pia muwe na weledi wa kutosha. Hivi kweli mnawekeza kwenye vifo vya watumishi wenu! Kwanini kutokumpa mtumishi pensheni yake yote anapostaafu? Mnakuja na mpango wa kumpa mtumishi kidogo kidogo hadi atakapokufa na malipo yanaishia hapo. Hamjui kuwa pensheni ni akiba waliyojiwekea watumishi wakati wakiwa wanafanya kazi na kwamba ni haki yao na wanapaswa kulipwa pensheni yao yote?

Mpango wa pensheni kwa kikokotoo ni serikali kukosa ubunifu wa kukusanya mapato na hivyo kuingilia pensheni za watumishi; hili ni kosa dhidi ya ubinadamu!

Lakini na nyie watumishi wa serikali mpo wapi? Au mnafikiri maandamo ni kwa ajili ya vyama vya upinzani tu?! Hivi waalimu wa siku hizi mnaweza kweli kuwafunza wanafunzi ujasiri, kupigania haki au upeo wowote kweli?!
Unaelewa maana ya Hifadhi ya Jamii? Yaani uwalipe hela zote wale ziishe harafu Waanze kusumbua Serikali na jamii kwamba wazee hawathaminiwi sijui wapewe kadi za Bure kwenye matibabu nk?

CAG amesema wanaleta hasara kwenye bima ni pamoja na hao Wastaafu wantibiwa bila kuchangia,unataka Serikali iongeze majanga mengine?
 
Waalimu wa siku hizi hadi muambiwe kuwa hali za maisha yenu sio nzuri!? Juzi tu hapo serikali imekuja na kikokotoo cha pensheni za watumishi mkiwemo nyie waalimu. Watu mnakatwa pensheni yenu na mpo kimya tu?!

Pensheni ni mali yenu na sio msaada kutoka serikalini, mnapaswa kuelewa kuwa mmechangia pensheni hiyo kwa kukatwa kigogo kidogo kila mwezi na hivyo mnapostaafu mnapaswa kupewa hela yenu yoote na sio sehemu tu au kulipwa kidogo kidogo hadi mtakapokufa na inaishia hapo!

Na viongozi wetu pia muwe na weledi wa kutosha. Hivi kweli mnawekeza kwenye vifo vya watumishi wenu! Kwanini kutokumpa mtumishi pensheni yake yote anapostaafu? Mnakuja na mpango wa kumpa mtumishi kidogo kidogo hadi atakapokufa na malipo yanaishia hapo. Hamjui kuwa pensheni ni akiba waliyojiwekea watumishi wakati wakiwa wanafanya kazi na kwamba ni haki yao na wanapaswa kulipwa pensheni yao yote?

Mpango wa pensheni kwa kikokotoo ni serikali kukosa ubunifu wa kukusanya mapato na hivyo kuingilia pensheni za watumishi; hili ni kosa dhidi ya ubinadamu!

Lakini na nyie watumishi wa serikali mpo wapi? Au mnafikiri maandamo ni kwa ajili ya vyama vya upinzani tu?! Hivi waalimu wa siku hizi mnaweza kweli kuwafunza wanafunzi ujasiri, kupigania haki au upeo wowote kweli?!
Magufuli atakumbukwa kwa kuwekeza kwenye mambo ya hovyo kabisa kama kuwekeza kwenye dhuluma hii kubwa ya kikokotowo
 
Wanahusika wote wenye pension. Waalimu wanapaswa kuwa viongozi lakini waalimu wa siku hizi wamelala mno ndio maana ninawananga. Waalimu wamekuwa ndio kada isiyojielewa kabisa bora tena wafagiaji!
Umeandika kwa uchungu sana mwalimu japo hujataka kujijumuisha kwenye hii post yako
 
Waalimu wa siku hizi hadi muambiwe kuwa hali za maisha yenu sio nzuri!? Juzi tu hapo serikali imekuja na kikokotoo cha pensheni za watumishi mkiwemo nyie waalimu. Watu mnakatwa pensheni yenu na mpo kimya tu?!

Pensheni ni mali yenu na sio msaada kutoka serikalini, mnapaswa kuelewa kuwa mmechangia pensheni hiyo kwa kukatwa kigogo kidogo kila mwezi na hivyo mnapostaafu mnapaswa kupewa hela yenu yoote na sio sehemu tu au kulipwa kidogo kidogo hadi mtakapokufa na inaishia hapo!

Na viongozi wetu pia muwe na weledi wa kutosha. Hivi kweli mnawekeza kwenye vifo vya watumishi wenu! Kwanini kutokumpa mtumishi pensheni yake yote anapostaafu? Mnakuja na mpango wa kumpa mtumishi kidogo kidogo hadi atakapokufa na malipo yanaishia hapo. Hamjui kuwa pensheni ni akiba waliyojiwekea watumishi wakati wakiwa wanafanya kazi na kwamba ni haki yao na wanapaswa kulipwa pensheni yao yote?

Mpango wa pensheni kwa kikokotoo ni serikali kukosa ubunifu wa kukusanya mapato na hivyo kuingilia pensheni za watumishi; hili ni kosa dhidi ya ubinadamu!

Lakini na nyie watumishi wa serikali mpo wapi? Au mnafikiri maandamo ni kwa ajili ya vyama vya upinzani tu?! Hivi waalimu wa siku hizi mnaweza kweli kuwafunza wanafunzi ujasiri, kupigania haki au upeo wowote kweli?!
Walimu si ndiyo hawa walimchangia Samia hela ya form ya kugombea urais,pumbavu zao kabisa.
 
Waalimu wa siku hizi hadi muambiwe kuwa hali za maisha yenu sio nzuri!? Juzi tu hapo serikali imekuja na kikokotoo cha pensheni za watumishi mkiwemo nyie waalimu. Watu mnakatwa pensheni yenu na mpo kimya tu?!

Pensheni ni mali yenu na sio msaada kutoka serikalini, mnapaswa kuelewa kuwa mmechangia pensheni hiyo kwa kukatwa kigogo kidogo kila mwezi na hivyo mnapostaafu mnapaswa kupewa hela yenu yoote na sio sehemu tu au kulipwa kidogo kidogo hadi mtakapokufa na inaishia hapo!

Na viongozi wetu pia muwe na weledi wa kutosha. Hivi kweli mnawekeza kwenye vifo vya watumishi wenu! Kwanini kutokumpa mtumishi pensheni yake yote anapostaafu? Mnakuja na mpango wa kumpa mtumishi kidogo kidogo hadi atakapokufa na malipo yanaishia hapo. Hamjui kuwa pensheni ni akiba waliyojiwekea watumishi wakati wakiwa wanafanya kazi na kwamba ni haki yao na wanapaswa kulipwa pensheni yao yote?

Mpango wa pensheni kwa kikokotoo ni serikali kukosa ubunifu wa kukusanya mapato na hivyo kuingilia pensheni za watumishi; hili ni kosa dhidi ya ubinadamu!

Lakini na nyie watumishi wa serikali mpo wapi? Au mnafikiri maandamo ni kwa ajili ya vyama vya upinzani tu?! Hivi waalimu wa siku hizi mnaweza kweli kuwafunza wanafunzi ujasiri, kupigania haki au upeo wowote kweli?!
Kikokotoo kinawahusu Wafanyakazi baadhi tu wa nchi hii ama Watumishi wote wa umma isipokuwa wanasiasa?
Tuanzie hapo kusaidiana,ama wanaolipwa pensheni ni hao ulowataja pekee?
Hapa TUCTA imeonesha kukosa meno.
 
Wanahusika wote wenye pension. Waalimu wanapaswa kuwa viongozi lakini waalimu wa siku hizi wamelala mno ndio maana ninawananga. Waalimu wamekuwa ndio kada isiyojielewa kabisa bora tena wafagiaji!
Hizi ni hasira za baada ya Mama yako kupata pesa kidogo baada ya kustaafu umeumizwa na mgao mkuu?
 
Waalimu wa siku hizi hadi muambiwe kuwa hali za maisha yenu sio nzuri!? Juzi tu hapo serikali imekuja na kikokotoo cha pensheni za watumishi mkiwemo nyie waalimu. Watu mnakatwa pensheni yenu na mpo kimya tu?!

Pensheni ni mali yenu na sio msaada kutoka serikalini, mnapaswa kuelewa kuwa mmechangia pensheni hiyo kwa kukatwa kigogo kidogo kila mwezi na hivyo mnapostaafu mnapaswa kupewa hela yenu yoote na sio sehemu tu au kulipwa kidogo kidogo hadi mtakapokufa na inaishia hapo!

Na viongozi wetu pia muwe na weledi wa kutosha. Hivi kweli mnawekeza kwenye vifo vya watumishi wenu! Kwanini kutokumpa mtumishi pensheni yake yote anapostaafu? Mnakuja na mpango wa kumpa mtumishi kidogo kidogo hadi atakapokufa na malipo yanaishia hapo. Hamjui kuwa pensheni ni akiba waliyojiwekea watumishi wakati wakiwa wanafanya kazi na kwamba ni haki yao na wanapaswa kulipwa pensheni yao yote?

Mpango wa pensheni kwa kikokotoo ni serikali kukosa ubunifu wa kukusanya mapato na hivyo kuingilia pensheni za watumishi; hili ni kosa dhidi ya ubinadamu!

Lakini na nyie watumishi wa serikali mpo wapi? Au mnafikiri maandamo ni kwa ajili ya vyama vya upinzani tu?! Hivi waalimu wa siku hizi mnaweza kweli kuwafunza wanafunzi ujasiri, kupigania haki au upeo wowote kweli?!
 

Attachments

  • IMG-20240416-WA0004.jpg
    IMG-20240416-WA0004.jpg
    59.6 KB · Views: 2
Nimeona utetezi wa Mama jana kuhusu kikokotoo ILA naona Mama hakutaka kuangalia report ya CAG!
Mifuko hii inashindwa kutoa "mafao stahiki" kwa wastaafu kutokana na;
1. Seikali - Kushindswa kuwasilisha makato ya wafanyakazi kwenye mifuko hii.
- Serikali kukopa/kuchukua fedha ktk mifuko na kutokurudisha
- Viongozi wa Serikali kukopa fedha ktk mifuko hii kwa matumizi yao na inapotea.
2. Uwekezaji mbovu na usio na tija unaofanywa na mifuko hii hivyo pesa kupotea kabisa.
3. Ubadhirifu wa viongozi wa mifuko hii kwa kutumia fedha hovyo
 
Back
Top Bottom