Waafrika ndivyo tulivyo?

Waafrika ndivyo tulivyo?

That there are Africans defying the mischaracterized labeling.That the saying is a gross generalization.

Wakati wengine wanang'ang'ania urais mpaka wako miaka 84, kuna wengine wana give up 11 years before the mandatory term limit, na successors wana set tradition ya kuondoka madarakani 18 months before time.

That Africa is a vast continent with diverse peoples, and deserves better than being lumped together under "Waafrika ndivyo tulivyo" kwa sababu huwezi kusema kitu chochote juu yao, zaidi ya kwamba ni waafrika, ambacho kitakuwa kweli kwa wote.

I can understand Waafrika wa aina hii au ile ndivyo walivyo, wasiosoma, au wezi, au burgeoisie, au Wasandawe (hardly).

Lakini a whole continent? Waafrika ndivyo tulivyo? I can never understand that.

That and just that.

Watswana wamenifurahisha sana kwa dozi yao ya kukomaa kisiasa wanayoitoa.
 
That there are Africans defying the mischaracterized labeling.That the saying is a gross generalization.

Wakati wengine wanang'ang'ania urais mpaka wako miaka 84, kuna wengine wana give up 11 years before the mandatory term limit, na successors wana set tradition ya kuondoka madarakani 18 months before time.

That Africa is a vast continent with diverse peoples, and deserves better than being lumped together under "Waafrika ndivyo tulivyo" kwa sababu huwezi kusema kitu chochote juu yao, zaidi ya kwamba ni waafrika, ambacho kitakuwa kweli kwa wote.

I can understand Waafrika wa aina hii au ile ndivyo walivyo, wasiosoma, au wezi, au burgeoisie, au Wasandawe (hardly).

Lakini a whole continent? Waafrika ndivyo tulivyo? I can never understand that.

That and just that.

Watswana wamenifurahisha sana kwa dozi yao ya kukomaa kisiasa wanayoitoa.

Hii sio sifa ya kusifia, nashangaa muandishi amekwenda mbaaaaaliii wakati TZ pia hatuna viongozi wanaong'ang'ania madaraka. Mkapa pamoja na kuwa anavuna mapesa kibao kwa dili za ufisadi aliachia ngazi mwenyewe. Mbona sisi hutusifiii?
 
Mkapa aliachia power miaka 11 kabla ya term limit. Aliachia power miezi 18 kabla ya term limit?

AG Mwanyika ana integrity ya kuji sue kwa mess up ya Richmond.
 
Hii sio sifa ya kusifia, nashangaa muandishi amekwenda mbaaaaaliii wakati TZ pia hatuna viongozi wanaong'ang'ania madaraka. Mkapa pamoja na kuwa anavuna mapesa kibao kwa dili za ufisadi aliachia ngazi mwenyewe. Mbona sisi hutusifiii?

Tatizo hapa watu wamekosa pointi nzima au sehemu kubwa ya point! Wanaangalia dhana nzima kupitia lenzi ya kisiasa kwamba eti kwa vile maraisi au viongozi wa nchi fulani (I can actually count them on one hand, believe it or not) wameachia madaraka kwa hiari yao basi imekuwa hatuko jinsi tulivyo. Ndivyo Tulivyo encompasses many other things...

Binafsi sijali sana kama kama liraisi au likiongozi fulani likikaa madarakani kwa muda mrefu ili mradi napata mahitaji yangu ya lazima. We fikiria eti bado tunaishi kwenye nyumba za udongo zilizoezekwa na nyasi...bado tunapikia mafiga na kuni....bado tunachota maji kisimani wakati tuna mito na maziwa kibao...bado tunahangaika na uhaba wa chakula wakati supposedly tumejaliwa ardhi yenye rutuba, mito, maziwa, na bahari....diet ya watu ni mbofu....mbwa na paka mamtoni wanakula vizuri kuliko binadamu wengi Afrika (which is a damn shame). It's a blessing we don't have tornadoes and such or else I couldn't even imagine the carnage caused by them.

Sio kila kitu kinatatuliwa na wanasiasa. We angalia shule zetu kwa mfano. Wanafunzi kibao wanakaa chini kwenye sakafu. Miti yote hiyo tuliyonayo jamii imeshindwa kabisa kutatua tatizo ambalo kwa kweli sioni sababu zozote zile kuwa ni tatizo. Oh kuna watakaosema ni tatizo la viongozi wetu...yeah yeah yeah...viongozi sio watatuzi wa kila kitu. Sisi wananchi wajibu wetu ni nini? Kuchagua viongozi makini hatujui...kuyamudu mazingira yetu nako hatuwezi....so what's wrong with us? There's got to be something lacking....
 
huu msemo wa "Waafrika ndivyo tulivyo"....is just an expression of oneself(subjective).......and in this case Nyani is as he is......au sio..

"Waafrika ndivyo tulivyo" can be positively or negatively............kwa case yetu Waafrika tumekuwa overwhelmed on the negative side..............
 
huu msemo wa "Waafrika ndivyo tulivyo"....is just an expression of oneself(subjective).......and in this case Nyani is as he is......au sio..

"Waafrika ndivyo tulivyo" can be positively or negatively............kwa case yetu Waafrika tumekuwa overwhelmed on the negative side..............

You are dead on my friend...
 
Mkapa aliachia power miaka 11 kabla ya term limit. Aliachia power miezi 18 kabla ya term limit?

AG Mwanyika ana integrity ya kuji sue kwa mess up ya Richmond.

Lakini si aliingia 18 months kabla ya muda wa Masire kuisha ama?
 
........makelele tu, "ile ndivyo tulivyo" imekaa ki-stereotype, kujikatia tamaa na kujidharau.....sijawahi kuwa mshabiki wa "ndivyo tulivyo" kama chachu ya kutatua matatizo yetu.
Hilo li Nyani Ngabu kazi kupamba wahindi na wazungu lina wafanya kana wao ni perfect kuliko perfect yenyewe!! mimi nasema hivi sivyo tulivyo, na kama ndivyo walivyo basi ni wao pekeyao na sio ku-blanket kila mtu kana vile wanajua mindset ya kila mwafrika hapa dunia!!!! shame on you Nyani Ngabu.

Wewe umeshakunywa gongo lako huko na sasa hujitambui.....wewe ndivyo ulivyo....you take it in the butt and smile....kwikwikwiiii
 
tatizo lako upo predictable sana!! kabla hii thread haijafiki mbali, role model wa NN gabacholi, The Truth atakuja hapa kukandia juu ya waafrika ndivyo walivyo......sita shangaa kama IQs zitaiingizwa kwamba waafrika wana low IQ ili kuthibitisha point yake!!

li nyani ngabu, litachekacheka na kumpa thank you!!! shame on you nyani ngabu.......

Bwahahahahahahahaaaa....you got issues
 
that's right! lakini siwezi kukuachia wewe na "masters" wako mnakuja hapa na kuongea mambo ya hovyo juu ya waafrika wooooote......pasina kuwepo emperical researched evidences!!!

una judge watu kwa habari za magazeti, viongozi wachache ambao wapo corrupt toka kwa hao hao unao waona wewe wa maana...............ovyo kabisa!!. kama ndivyo ulivyo peke yako na sio kila mtu. ebo

Si base ninachosema hapa kutokana na viongozi wala rushwa na mafisadi. Ondoka Boston na urudi kwenu Nangulukuru ndio utanielewa ninachozungumzia. Ubishi unaoleta huku ukiwa kwenye comforts za majuu hauna maana...sana sana inaonyesha unafiki tu! Rudi Nangulukuru tuone kama utakuwa hata na jeuri ya kubishana na mimi 'Uncle Tom' kama unavyofanya sasa...
 
Alright Nyani, if this can be of help to justify "Ndivyo Tulivyo" - after all, Kikwete mwenyewe kasema: " Ni kazi ya Mungu."

sasa utasemaje hapo!

Yes it was meant to be! What are you gonna do about it...
 
**Its Been years before Countries like US could implement and Display such a high standard of Democracy,yet they expect it to happen overnight in Kenya??

But America didn't start off their democracy in the same way Kenya has. George Washington willingly gave up power, and so did all of his immediate successors. There has been no civil unrest after any American presidential election as far as I know. So what is the difference between Kenyans and Americans?
 
You have put it very aptly mkuu mwenzangu.If they can't govern basi let the British come back and we start this thing all over again!!!
Swali linakuja...Je shida n'sisi au ni viongozi wetu?

Population is to blame as they elect the leaders.
 
How about if the leader that the people elected ananyimwa haki yake as in the Kenyan case?...You can't blame the people here...ama?
 
How about if the leader that the people elected ananyimwa haki yake as in the Kenyan case?...You can't blame the people here...ama?

Well the population voted for him (Kibaki) the first time, no? Also what makes you think the new elected leader (Odinga) is any better? If he turns out to be just another African despot (as the odds suggest) what would you say then? Ultimately we have to blame the population.
 
Back
Top Bottom