Waafrika hatukupaswa kutumia kalenda moja na wazungu. Sisi tuko nyuma ya wazungu kwa miaka 300

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,154
Hii naileta bila salamu!
Karne ya 17 na 18 wazungu ndipo walipogundua teknolojia nyingi.
Vitu ambavyo wazungu walivumbua Karne ya 17 -18 mpaka sasa Waafrika hatujagundua mithili ya hivyo. Tunapeleka watoto shule Ili waweze kutumia vitu ambavyo wazungu walivumbua miaka zaidi ya 300 nyuma .
Teknolojia ya kamera na picha mgando Wazungu waliigundua miaka karibu mia 4 iliyopita , imeboreshwa na kuboreshwa zaidi na itazidi kuboreshwa lakini sisi kazi yetu ni kuanzisha vyuo vya kufundishana namna ya kutumia.
Ingini za magari/mitambo ziligundulika miaka mingi imepita sisi kazi yetu ni kufungua vyuo vya kufundishana namna ya kuzitumia au kubadilisha kifaa kilichokufa kwenye hiyo engine.
Sasa Waafrika tuwe na kalenda yetu ambayo itatupa mwongozo wa wapi tuanzie.
Leo hii kuna vyuo vya kufundishana namna ya kutengeneza ingini za ndege, kiuhalisia sio kutengeneza bali ni kufanya service na kubadilisha vifaa vidogo vidogo.
Sasa ni vurugu mechi , tumepokea mambo ya Karne ya 21 ambayo kwa uhalisia sisi tuko huko Karne ya 15-16.
 
Tupo nyuma ya Mzungu sio miaka 300 (mia tatu), bali ni miaka 3,000 (elfu tatu)

Waafrika bado wapo katika hatua ya Binadamu ya Homo habilis wakati Wazungu wamefikia hatua ya Binadamu ya Homosapien (Binadamu mwenye busara na aliye staarabika)

Usiangalie hali ya mwili, angalia matendo yetu.
Tatizo Mzungu alikuja na kuturusha tuonekane kama wao kwa mtizamo.
Kwa kutupatia mavazi, na Elimu haraka haraka bila kwenda kwa hatua hatua.

Bila kuja Mzungu tungefanana na wale Wahadzebe wanao ishi mapangoni porini hadi hii Leo.

We angalia Mwarabu alikuja na Gobole moja tu, na ni juzijuzi tu akatufanya Watumwa wake na kututawala kimwili na kiakili.
Huyu Mwarabu wa Omani aliyekuja na Jahazi la Upepo.
Akaitawala Zanzibar Hadi Mwaka 1967, ni Jana tu.
 
Wazungu walitukuta tayari tunavaa, leather.

Wazungu walutukuta tayari tuna viwanda vya kutengeneza silaha. Marungu(Baton), Mikuki(misiles) na ngao (lightweight body armour)

Wakati wao leo hii ndio wanatafuta njia ya kutengeneza Biodegradable- Kuanzia nguo mpaka Utensils, sisi Waafrika tulikuwa nayo.

Wazungu wamejifunza hesabu kwa Waarabu, hiyo calendar yenyewe qalikuwa hawaijui.
 
Wazungu walitukuta tayari tunavaa, leather.

Wazungu walutukuta tayari tuna viwanda vya kutengeneza silaha. Marungu(Baton), Mikuki(misiles) na ngao (lightweight body armour)

Wakati wao leo hii ndio wanatafuta njia ya kutengeneza Biodegradable- Kuanzia nguo mpaka Utensils, sisi Waafrika tulikuwa nayo.

Wazungu wamejifunza hesabu kwa Waarabu, hiyo calendar yenyewe qalikuwa hawaijui.
Nini kimeturudisha nyuma sasa
 
Kwahiyo muliwafundisha kuuana?
Hapana, ila ukitaka iwe hivyo sawa tu. Wao ndii wanauana bila sababu za msingi. Kwetu huku ulikuwa ukifanya makosa au jinai...unafukuzwa(cast away) unaenda zako Serengeti ukajitambue huko

Ila Wao walivyokuja wakaja na Maxim Gun. Waliua sana waafrika(indiscriminately)

Sasa wewe bunduki lote lile la nini na mtu ana mkuki?

Huo ndio Ukatili, kama ulitaka kusema hivyo.
 
Tupo nyuma ya Mzungu sio miaka 300 (mia tatu), bali ni miaka 3,000 (elfu tatu)

Waafrika bado wapo katika hatua ya Binadamu ya Homo habilis wakati Wazungu wamefikia hatua ya Binadamu ya Homosapien (Binadamu mwenye busara na aliye staarabika)

Usiangalie hali ya mwili, angalia matendo yetu.
Tatizo Mzungu alikuja na kuturusha tuonekane kama wao kwa mtizamo.
Kwa kutupatia mavazi, na Elimu haraka haraka bila kwenda kwa hatua hatua.

Bila kuja Mzungu tungefanana na wale Wahadzebe wanao ishi mapangoni porini hadi hii Leo.

We angalia Mwarabu alikuja na Gobole moja tu, na ni juzijuzi tu akatufanya Watumwa wake na kututawala kimwili na kiakili.
Huyu Mwarabu wa Omani aliyekuja na Jahazi la Upepo.
Akaitawala Zanzibar Hadi Mwaka 1967, ni Jana tu.
Hata sasa hivi wakiona inawalipa uwezo wa kutufanya watumwa wanao na hakuna kitu tunaweza kuwafanya.😭
 
Hii naileta bila salamu!
Karne ya 17 na 18 wazungu ndipo walipogundua teknolojia nyingi.
Vitu ambavyo wazungu walivumbua Karne ya 17 -18 mpaka sasa Waafrika hatujagundua mithili ya hivyo. Tunapeleka watoto shule Ili waweze kutumia vitu ambavyo wazungu walivumbua miaka zaidi ya 300 nyuma .
Teknolojia ya kamera na picha mgando Wazungu waliigundua miaka karibu mia 4 iliyopita , imeboreshwa na kuboreshwa zaidi na itazidi kuboreshwa lakini sisi kazi yetu ni kuanzisha vyuo vya kufundishana namna ya kutumia.
Ingini za magari/mitambo ziligundulika miaka mingi imepita sisi kazi yetu ni kufungua vyuo vya kufundishana namna ya kuzitumia au kubadilisha kifaa kilichokufa kwenye hiyo engine.
Sasa Waafrika tuwe na kalenda yetu ambayo itatupa mwongozo wa wapi tuanzie.
Leo hii kuna vyuo vya kufundishana namna ya kutengeneza ingini za ndege, kiuhalisia sio kutengeneza bali ni kufanya service na kubadilisha vifaa vidogo vidogo.
Sasa ni vurugu mechi , tumepokea mambo ya Karne ya 21 ambayo kwa uhalisia sisi tuko huko Karne ya 15-16.
Una ji underestimate mkuu, acha upuuzi kuwatukuza weupe.
Jikubali
 
Nini kimeturudisha nyuma sasa

Bongo, pale ulipopata haya maarifa wana majibu. Iwe ni Vitabuni, Shuleni, N.k

Kumbuka tulikuwa na Maktaba zetu za Vitabu na Maarifa mengine...Including Calendars. Moja ilikuwa Alexandria, Nyingine Tumbaktu na inasemekana hata Zimbabwe ilikuwepo nyingine.

Hatahivyo, wakati wakiwachukua watu kwenda kulima sukari huko ulaya, walichukua the best of the best. Na ushahidi upo.

Huo ndio ulikuwa mwanzo wa kuondoa na kufuta maarifa kutoka Afrika. Imagine leo tuwachukue majiniasi wa Ulaya. Unafikiri watabaki na nini kama siyo kuangali tik tok peke yake. Sic
 
Back
Top Bottom