pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,558
- 2,932
Wakurya, ni moja ya jamii inayotumikia Taifa letu kwa jasho na damu kwa kuwaingiza vijana wao kwa wingi katika jeshi. Kijana wao wa kiume anaitwa Mura na wa kike Mukari.
wakurya?
wakurya?
Wakurya ni kabila linaloamini mapenzi hujengwa kwa kipigo
Twiga ni mnyama mwenye shingo ndefu sana,pia hutembea kwa maringo
shida inatukumba sote kwa uzembe wa wachache tu.
Mwalimu nyerere popote ulipo naomba nikufahamishe kwamba nchi yetu imekua shamba la bibi
makinda km ya ndege , yan amesahau kabisa bunge lilikotoka, hajui anapolipeleka.
Moto wa jehanamu ataingia kila muovu[/QUOTE
muovu ni yeyote anayetenda dhambi