Mtaani hakukaliki kila mmoja hapa kazi tu
kazi tuu kwa jinsi tulivyokuwa wavivu tutapelekwa mchakamchaka
Mchakamchaka huu mpaka tutaisoma namba
Achani wepesi kusifu,tusubrie tuone kama wale mapapa tunaowajua wakitumbuliwa,hapo ndo nitampima magu!
Wewe kiazi unaharibu utaratibu,
Hivyo viatu vimekuvaa
Vimekuvaa miguni au kichwani
Kichwani nimejawa na mawazo ndio mana sijalala mpaka muda huu
Huu muda kama una mawazo utakesha macho
Macho yangu meupe pee kama vile ni mchana wa saa nane
Huu muda kama una mawazo utakesha macho