Anashtua kijotijoti ili watoto wamuige na kumfuataInauma hasa ukiona mwenzio anashtua..
Aliponitunuku zawadi raisi kikwete nilifurahi sana
chuo ulichosoma nacho ni jipu, acha nimstue magufuli
njaa huua waafrika wengi,sababu wengi wetu hula vyakula vyenye sumu
Sumu ni mke wa mtu hata maziwa hayafui dafu
Dafu usipendelee sana maana linasababisha busha