MINJA VINCENT
Senior Member
- Aug 31, 2015
- 180
- 24
Umgegedae nimfuasi wa ukawa!
Ukawa ndio watachukua nchi awamu hii wengine wote wasindikizaji mtasubiri sana,naipenda nchi yangu tanzania naipenda ukawa,imagine life without ukawa..........
UKAWA kushika nchi ni sawa na kuota ndoto
unautaka au unaupenda? lazma uweze kunyumbulisha!
"Umeuliza au umejibu?" Aliuliza MINJA VINCENT
Ajabu nchi kuongozwa na mpiga push-up.
Push Up za magufuli ndio habari ya mjini
Mjini raha sana..Na wtt wazuri kama ww mnasaidia kupendezesha mji