Yomakon
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 638
- 679
Tule sio kiswahili fasahaTunakula ili tuishi au tunaishi ile tule!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tule sio kiswahili fasahaTunakula ili tuishi au tunaishi ile tule!
Fasaha yake ni ipi? Mmeamka mashabiki wa huu?
zaidi ya mimi hakuna mwingine aliyepita hapaHabari wanaJF,
Nnaomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi"......... Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako.
Mfano:
Ualimu Tanzania ni kazi ngumu kiasi
Kiasi ambacho kama hukuzoea maisha ya tabu, utalalama kila siku
Siku uianze vizuri bwana, ukiianza vibaya lazima utukane mwenzio
Mwenzio ni mtu ambaye mnaweka hisia zenu pamoja bila kusalitiana kama dr. Ulimboka na madkatari
Madaktari wa Tanzania wanahitaji kulipwa zaidi........ (tuendelee kwa mtindo huo wanaJF, wa mwisho ndo winner.. Karibuni sana)
Hapa ni faulo tayari!zaidi ya mimi hakuna mwingine aliyepita hapa
Yameendelea kwakua wakazi wake wanajituma kwa bidii. Sio kukesha kulalamika Bongo Bahati Mbaya
Mbaya zaidi ni kulalamikia selekali wakati kutwa kuchwa vijiweniYameendelea kwakua wakazi wake wanajituma kwa bidii. Sio kukesha kulalamika Bongo Bahati Mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
vijimambo vya uswazi au JF?Vijiweni kuna vijimambo
Jf ndio mtandao wa kijamii wangu pendwa sijawahi jutia kujiunga.V
vijimambo vya uswazi au JF?
Jf ndio mtandao wa kijamii wangu pendwa sijawahi jutia kujiunga.
Sio interview bana. Sikushawishiwa na mtu nilipenda mwenyewe.Kujiunga ulishawishiwa au wewe mwenyewe tu, hii sio interview?
Mwenyewe niko poa hapa, vp mdadaSio interview bana. Sikushawishiwa na mtu nilipenda mwenyewe.