Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kidevu changu kimeshakatika mkuu.



RAIMUNDO WENZAKO HAWAJAKWAMBIA KUWA MIMI NDIO MTEMI HUMU NDANI ? TANGU LINI UKAMJIBISHA MFALME WAKO ? HUONI WENZIO WALIVYOFYATA MIKIA ? NIKIINGIAGA MIMI WOTE WANATOKA , NAONA HULIJUI HILI
 
Kamwe, Mungu atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.

Wengine wanalipwa hapa hapa Duniani na wengine watalipwa pindi watakaporejea kwa muumba wao.

Sasa ni maamuzi ya kila mmoja kuishi ama kwa kufanya mambo mema au maovu.


NYAMAZA WEW , UNALIALIA KITU GANI?
 
Kamwe, Mungu atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.

Wengine wanalipwa hapa hapa Duniani na wengine watalipwa pindi watakaporejea kwa muumba wao.

Sasa ni maamuzi ya kila mmoja kuishi ama kwa kufanya mambo mema au maovu.


ALAFU UNA JINA LA KIKE WEW NISIJE KUA NAMFOKEA MREMBO? WEW MWANAMKE AU MWANAMUME AU UNAZO JINSIA ZOTE MBILI ?
 
Kamwe, Mungu atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.

Wengine wanalipwa hapa hapa Duniani na wengine watalipwa pindi watakaporejea kwa muumba wao.

Sasa ni maamuzi ya kila mmoja kuishi ama kwa kufanya mambo mema au maovu.
Maovu mengi saa nyingine yanaletwa na kujitakia
 
NAPENDA UCHOKOZI TOKA NIKO MTOTO, MKIJA NIONA HATA HAMTAAMINI KUA NI MIMI NINAEWATESAGA. NIKO MPOLE SANA ILA MCHOKOZI
 
Back
Top Bottom