Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,107
- 122,493
Raisi ajaye bado hajajulikana si unajua kuna miaka mingine 05 ya mheshimiwa wa hapa kazi tuWewe tutakuchagua kuwa raisi ajaye
Raisi ajaye bado hajajulikana si unajua kuna miaka mingine 05 ya mheshimiwa wa hapa kazi tuWewe tutakuchagua kuwa raisi ajaye
Kazi tu haina nafasi tena.. Tunahitaji slogan mpyaRaisi ajaye bado hajajulikana si unajua kuna miaka mingine 05 ya mheshimiwa wa hapa kazi tu
Mpya mpya za leo ni kwamba, nimepokea malalamiko kuhusu matumizi ya kithungu kwenye huu mtanange pale jana usiku wakati napambaa na mzado.Kazi tu haina nafasi tena.. Tunahitaji slogan mpya
Mpya mpya za leo ni kwamba, nimepokea malalamiko kuhusu matumizi ya kithungu kwenye huu mtanange pale jana usiku wakati napambaa na mzado.
Naomba mniwie radhi kwa jambo hilo, tuendelee kama kawaida kupashana sentensi mbalimbali kwa kutumia utashi wetu tulionao. Hii inatujenga akili kuwa imara kwa kufikiri misamiati migumu ambayo itakupelekea kuwa mshindi.
Mshindi alipatikana Jana mwifwa, umeamkaje lknMpya mpya za leo ni kwamba, nimepokea malalamiko kuhusu matumizi ya kithungu kwenye huu mtanange pale jana usiku wakati napambaa na mzado.
Naomba mniwie radhi kwa jambo hilo, tuendelee kama kawaida kupashana sentensi mbalimbali kwa kutumia utashi wetu tulionao. Hii inatujenga akili kuwa imara kwa kufikiri misamiati migumu ambayo itakupelekea kuwa mshindi.
Lkn au lakini!!Mshindi alipatikana Jana mwifwa, umeamkaje lkn
Kwako hakuna tofauti na kwetuLkn au lakini!!
Nimeamka salama salimini, hofu kwako
Kwetu palisifika sana enzi zile wakati mtemi wa kabila letu anaongoza maadhimisho ya mila na desturi kipindi cha mavunoKwako hakuna tofauti na kwetu
Mavuno mwaka huu yamekua kidogo tunajiandaa kupambana na njaaKwetu palisifika sana enzi zile wakati mtemi wa kabila letu anaongoza maadhimisho ya mila na desturi kipindi cha mavuno
Njaa kali sana iliyojulikana kama FUNGA FUNGA iliwahi kutokea miaka ya 1974, njaa kama hiyo haikuwahi kumuacha mtu salamaMavuno mwaka huu yamekua kidogo tunajiandaa kupambana na njaa
Salama shangaziangu aliwahi nisimulia kuhusu hii njaa, anasema waliletewa chakula cha msaada na serikali kipindi hicho mwalmu.JK ndio raisNjaa kali sana iliyojulikana kama FUNGA FUNGA iliwahi kutokea miaka ya 1974, njaa kama hiyo haikuwahi kumuacha mtu salama
Rais ambaye anasifika katika siasa za Ujamaa na ndio ambaye ni miongoni wa watu waliowahi kutoa Phyllosophical ideas hapa barani AfrikaSalama shangaziangu aliwahi nisimulia kuhusu hii njaa, anasema waliletewa chakula cha msaada na serikali kipindi hicho mwalmu.JK ndio rais
Afrika bado inalia na umaskini ijapokuwa alitoa phyllosophical tunahitaji kuungana tukomboe bara letu katika umaskiniRais ambaye anasifika katika siasa za Ujamaa na ndio ambaye ni miongoni wa watu waliowahi kutoa Phyllosophical ideas hapa barani Afrika
Afrika nzima inamtambua, hususan kusini mwa jangwa la saharaRais ambaye anasifika katika siasa za Ujamaa na ndio ambaye ni miongoni wa watu waliowahi kutoa Phyllosophical ideas hapa barani Afrika
Saharan trade ni biashara iliyoendeshwa kuvuka jangwa la Sahara wakati Wa ukoloni.Afrika nzima inamtambua, hususan kusini mwa jangwa la sahara
Saharan trade ni biashara iliyoendeshwa kuvuka jangwa la Sahara wakati Wa ukoloni.
Kiafrika, Kiasia, Kiulaya, Kiamerika, Kiaustralia ndio nini? Naombeni mnisaidie kunieleweshaUkoloni enzi hizo uliharibu tamaduni za kiafrika..
kunielewesha jambo ninalolifahamu ni ujinga kabisa...Kiafrika, Kiasia, Kiulaya, Kiamerika, Kiaustralia ndio nini? Naombeni mnisaidie kunielewesha
Kabisa sijawahi kuona mchezo usio na mshindi kama huukunielewesha jambo ninalolifahamu ni ujinga kabisa...
huu mwandiko kama naufahamu...Kabisa sijawahi kuona mchezo usio na mshindi kama huu