Lowasa japo watu wanaimani nae lakini hatokuwa na jipya yeye mtu mmoja hatobadili utendaji wa serikali, kwani watendaji ni walewale toka enzi za Mwinyi na Nyerere tena najua baraza lake halitokosa akina Wassira, Lukuvi, Hawa Ghasia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.