BOWTHRUSTER
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 397
- 174
Enzi zile ukiwa na pesa nyingi unaitwa muhujumu uchumi
Shambani tulilinda sana mazao yasiliwe na ngedele.
Ngedere aliniibia mkate jana
Jana nilikukost mpaka ukapigaaaa kelele mtaaa mzima nakufaaaaa
Unafiki wa wanasiasa ndio umefanya katiba ipite
ipite wapi wewe wakati jk kasema hadi uchaguzi wa mwakani
Kura utapiga Mwakani Mungu akipenda Ellymckoye usiseme lazima.