gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,846
Moja mbili Tatu moja, gwaride litanyosha mistari kutoka kulia, kutoka kulia mistari nyosha mo mbi.. Dah nakumbuka kj michungwani, mkuu nakusalimu bhanah msalimie na sakayo nimewakumbuka sana napita tu kuwajulia hali, usiku mwemayanayojulikana ni kwamba wewe ni noma kwa vina, naomba twende tu studio tukarekodi track moja yenye verse moja
