Jamaa hapa pouwa tu, nipo na my kid, my best friend, my love, my everything, my princess ninamtembeza kidogo leo anafurahi sana kuona yupo so close na daddy ake, ila jamani wanaume mkizalisha sio mnawakimbia watoto hiyo laana itakutafuna popote huendapo, nimeona kuna wimbi kubwa wanaume kuzikimbia familia zao, kuna uzi mwanadada mmoja aliauanzisha hapa JF akilalamika kwa uchungu namna baba mtoto kamkimbia kamuachia mtoto na majukumu yote inatia hasira sana, Mungu huwa amuachi mwanamke akilia huwa anamjibu kilio chake na ni lazima mwanaume uisome nambaGenge tulichangamshe wote kaka, mambo vipi jamaa
Hafai kabisa huyu jamaa Toxic9Jamaaa hafai
Soon ndiyo muda ganiHumu hakunifai ntawakimbia soon
Nini chalii yetu, mambo ni bomba mkuu, za huko utokako?? Shemeji aisha hajamboShwari tu wakuu.. Mambo nini
Kwaherini unaenda wapi jamani, au ndiyo kutufanya kama SupermarketJf naipenda imenilea nitarudi one day ila kwa Leo kwaherini
Sakayo nafurahi kusikia upo njemaJamani leo wangapi tutaangalia mapinduzi day kwa TV..!? Ila mimi siangalii, tupo njema dada sakayo
Tunamsalimia pia Aisha2016, asante kwa salamu mkuuKweli sakayo yupo sema majukumu, si unajua ukishakuwa mama of the house lazima huwe busy na familia, huko aliko tunamsalimia
Humu ndani nipo nipo, nachungulia kila nikipata upenyoToxic9 kafanyaje tena mkuu, mhmhhh umemmiss sakayo eti, atakuja asubuhi alikuwepo humu
Upenyo ukiupata usisite kuja, cha msingi ni uzima tuHumu ndani nipo nipo, nachungulia kila nikipata upenyo
Uzima tuu tumepewa bure, ni kumshukuru Mungu kwa uzima alotupa. Asubuhi yako inaendaje lakiniUpenyo ukiupata usisite kuja, cha msingi ni uzima tu
Lakini leo nipo salama kabisa sio kama jana, jana i had a stressful day, maisha bila stress basi unaandaa anguko mbeleniUzima tuu tumepewa bure, ni kumshukuru Mungu kwa uzima alotupa. Asubuhi yako inaendaje lakini
Mkuu Gbefa upo wapi ulimmiss sana sakayo, yupo hapa uje kumsalimia dada ako au unajifanya hujamuonaTunamsalimia pia Aisha2016, asante kwa salamu mkuu
Hujamuona huko jamani, msalimie maana nikiwepo ananikwepa nikiondoka anaanza sema animissMkuu Gbefa upo wapi ulimmiss sana sakayo, yupo hapa uje kumsalimia dada ako au unajifanya hujamuona
Mbeleni hamna anaejua hatma yake, nini mbaya tena jamanii toxic9. Maisha yenyewe haya mafupiLakini leo nipo salama kabisa sio kama jana, jana i had a stressful day, maisha bila stress basi unaandaa anguko mbeleni
Ccm ni chama cha mapinduziviovu vimekuwa vitendo vya kawaida vya CCM
Viatu nshavalishwa mbonaHujamuona, mpaka amalize kuvalishwa viatu
Mbona bado wavalishwa!Viatu nshavalishwa mbona