Wa mwisho ndiyo mshindi

Msiba jamani unauma tuache utani
Utani uliezoea kutaniana na rafiki yako ukikumbuka unazidi kuumia, tumshukuru Mungu ametupa uwezo wa kusahau sababu kama ingekuwa mauvu tunayoyapata ni kama siku ile ya msiba tusingekuwa hapa
 
Utani uliezoea kutaniana na rafiki yako ukikumbuka unazidi kuumia, tumshukuru Mungu ametupa uwezo wa kusahau sababu kama ingekuwa mauvu tunayoyapata ni kama siku ile ya msiba tusingekuwa hapa
Hapa Leo tukumbuke wapendwa wetu walotangulia mbel za haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…