fluphenazine
Member
- Jan 26, 2012
- 17
- 10
2015 tutakuwa na katiba mpya itakayo ondoa kinga ya kufunguliwa mashtaka kwa marais wastaaf. Tutaanza kumfunga baba mwanaasha
mwanaasha mkwewe alihakikishia kiti bungeni muda ukifika.
makusudi ya taifa ni kupata wasomi wengi
magomeni ni noma! Watoto wanakula pilau hao! Sijui watoto wa huko mitaani kwenu. Ni mimi Mavurunza mjumbe wenu.wengi wanapenda kula pilau,ila kamwe hawawafikii watoto wa magomeni