Wa enzi hizo mnakumbukia wap hapa?

Bushmamy

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
8,847
15,252
Mambo ya ndombolo ya solo hayo
Screenshot_20201124-114723.png
Screenshot_20201124-114723.png
Screenshot_20201124-114824.png
Screenshot_20201124-114824.png
Screenshot_20201124-114844.png
 

Attachments

  • Screenshot_20201124-114917.png
    Screenshot_20201124-114917.png
    73.7 KB · Views: 3
Yan wewe kila wakati unadili na watoto wakali tu
Hatari tupu.. watoto wakali wanaongeza siku za maisha.. mtoto alikuwa anaitwa Saumu sijui swaumu.. mtoto kama angel vile.. alafu alikuwa wakishua.. machizi kibao walikuwa wana mgwaya.. noma sana.. sasa hivi mtoto yupo kwa Boris Johnson mie nipo kwa mtogore 😀😀😀
 
Enzi hizo tunaenda disco Tazara(leaders club)kucheza disco la buzuki..Dj Charlz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom