King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,846
- 5,383
Mmmh...hapana aje mwenyewe ajibu hili swali,niridhike...Alikua hata hajazaliwa huyo, watoto wengi sana humu.
financial services wewe ulisimuliwa na nani hizi nyimbo...😅
Mmmh...hapana aje mwenyewe ajibu hili swali,niridhike...Alikua hata hajazaliwa huyo, watoto wengi sana humu.
Sawa tumsubiri. Bushbaby..,Mmmh...hapana aje mwenyewe ajibu hili swali,niridhike...
financial services wewe ulisimuliwa na nani hizi nyimbo...😅
Kwahiyo wewe unaujua ukweli zaidi ya ninavyojijua? Mnapenda kuambiwa uongo na mnaukubali uongo kuliko ukweli!Si kwelii
Ahahaaa...nomaa sanaaSawa tumsubiri. Bushbaby..,
Hizi nyimbo bana huwa nacheka wazazi wanatusimulia eti zilikua ndiyo pendwa hasa kipindi cha harusi yao, waliojidai wanapenda gospel songs pekee baada ya kupigwa hizo ndombolo nk. Wakatupa magitaa chini wakaingia kati kuyarudi😀😀😀
Aarh nitake radhi mkuu, mimi niwe wa 2000 kwelii?? Mi mkongwe sana tu.Ahahaaa...nomaa sanaa
Kumbee ulisimuliwa eeh😃...afu unaonesha bado mbichi sana,kama sio wa 2000 Basi 97
Yaani King Sae alikua anakusema eti huna lolote ndiyo kwanza umezaliwa juzi mwaka 2000 , huu ugomvi mi sipo😀Abeee, umesema?
Basi sawa we ni babu, Umeridhika sasa?Kwahiyo wewe unaujua ukweli zaidi ya ninavyojijua? Mnapenda kuambiwa uongo na mnaukubali uongo kuliko ukweli!
Sijaridhika, kwanini uniite babu wakati niko below 40?Basi sawa we ni babu, Umeridhika sasa?
Hueleweki unataka nini, kuitwa mdogo hutaki, kibabu pia unaogopa babez wako humu watakukimbia, sasa chagua tukuitaje kibabu Emiir😀Sijaridhika, kwanini uniite babu wakati niko below 40?
Mbona mi naeleweka sana! then uniite kibabu! Kibabu mwisho Chalinze!!Hueleweki unataka nini, kuitwa mdogo hutaki, kibabu pia unaogopa babez wako humu watakukimbia, sasa chagua tukuitaje kibabu Emiir
Bado unalipa kabisa mamy🤔MIe Nshazeeka sasa, umri umenitupa mkono
Kubali we ni kibabu cha hapo hapo chalinze basi.Mbona mi naeleweka sana! then uniite kibabu! Kibabu mwisho Chalinze!!
Ili iweje kwa mfano?!Kubali we ni kibabu cha hapo hapo chalinze basi.
Ananijua vizuri sana huyo! Anajishaua tu!Weka picha yako hapa ndo atajua kuwa. Upo kundi gani la. Kijana au mbaba au babu