Ajira zinapita utumishi endelea kufuatilia matangazo www.ajira.go.tz hakuna muda maalumu ila kuanzia February hii mpaka june, ajira zinaendelea kutangazwaNaomba kuuliza ajira za vyuo vya kati huwa wizara wanatoa mwezi gani kila mwaka.
Vyuo gani vya kati unamaanisha na course ipi?Naomba kuuliza ajira za vyuo vya kati huwa wizara wanatoa mwezi gani kila mwaka.
Vyuo vya diploma mkuuVyuo gani vya kati unamaanisha na course ipi?
Muda wowote wanapokuwa na uhitaji.Naomba kuuliza ajira za vyuo vya kati huwa wizara wanatoa mwezi gani kila mwaka.
Vigezo vyake nivipi kwenye upande wa GPASiku hizi wanachukua walimu wa primary au sec. Wenye uzoefu wa angalau miaka miwili kazin