Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
Mitihani ya taifa inafanyika siku za ijumaa, iddi na bado hakuna tabu kisherehe cha mwaka mara moja imekuwa nongwa.
Wewe ndio umekaririshwa, leta evidenceHaya hapo niliyoandika ni nini? Acha kukaririshwa jiongeze utoke gerezani
Moja ya mashitaka alioshitakiwa Yesu ni kutoshika sabato. Na waliopiga kelele asulubiwe ni wasabato na walio msulubisha ni wasabato sasa sijui usabato wake uko wapi? Alipo mponya yule mwanamke siku ya sabato akamwambia jitwike godoro lako uende unajua wasabato walimwambia nini? Usimuhusishe Yesu Kristo aliyesulubishwa mpaka kuuwawa na wasabato na usabato wako..Yesu alileta wokovu na wala si siku ya jumamosi ndiyo maana wenzio tupo huru Kumuabudu Mungu wetu siku yyte ile..iwe ijumaa, jumamosi jumapili tunabubujika tu na Roho Mtakatifu akituongoza.Ungeleta andiko ingekuwa vema ,maana mm na ushahidi wa kimaandiko
Manabii wote
Had yesu na mitume walisali siku ya SABATO
hii jumapili ni ibada ya papa
Sasa sijui unasmsema Yesu gan huyoView attachment 926096
Leta ushahidiNyie mna abudu siku
Hapo na mm najiuliza sana kwanini padri Martin Luther alipojitoa RC, kwanini hakuanzisha utaratibu wa kusali siku nyingne tofaut na jpl? Nazan aliona SIKU haina shida bali MAFUNDISHO ya kanisaKwani ni wakatoliki pekee ndio wanasali jumapili?? Mboma papa ndio unamtolea mifano zaidi??
PropagandaLeta ushahidi View attachment 926137
Huu ndo ushahidi wako? Kwani nani anashindwa kutengeneza hizo picha lete ushahidi Wa maandiko na siyo umbea umbea tuLeta ushahidi View attachment 926137
Ndio ushangae na wewe.Hapo na mm najiuliza sana kwanini padri Martin Luther alipojitoa RC, kwanini hakuanzisha utaratibu wa kusali siku nyingne tofaut na jpl? Nazan aliona SIKU haina shida bali MAFUNDISHO ya kanisa
Umenena kweli Mkuu, hawa ni kuwapotezeamm nna ushauri tu,
hoja zinazohusisha dini hua haziishi coz kila mtu anaamini ktk kile anachoamini, so tuwaacheni tu hawa ndugu waamue ya kwao ilomradi tu hawaingilii Uhuru wetu.
pia kwa mnaopenda mabishano kuwen makini maana hawa jamaa ata ukibishana nao mpaka kesho hamna utakachoambulia; ni watu wanaojaribu kujitetea siku zote na Mara zote atataka muongelee kile anachokijua.
mfano,
angalia comment ya hapo juu ya attachment ya gazeti,
then jiulize,
upapa una uhusiano gani na mahafari ya vyuo vikuu Tz kama Uzi unavyoeleza.
utagundua kua anataka mjadili anachokijua yeye.
so please,
speak only when your words are more important than your silence
ni ushauri tu
Hahahahahaaa poa mkuuMimi binafsi ni mlutheri na nimesoma kwa wasabato lakini hata na wao hawatendi haki kwani muda mwingi wakiwa na vipindi au mitihani wanaweka siku ya jumapili na hata graduation day huwa wanaweka siku ya jumapili. kwa hiyo na sisi walutheri tulikuwa tunanyimwa muda wa kwenda kusali kujumuika na wenzetu. hivyo sio mbaya jino kwa jino. lala mbele na topic nyingine hii imetoka.
Hahaaa wasabato huwa ni watu wa ajabu saana kifikra.Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??
Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?
Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.
Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Mkuu yaani umemaliza toka mwanzo hadi ufunuo, tatizo watu wengi Imani zipo kwa viongozi wao na mafundisho fake, ukristo ni raha sana ukiujua vizuriKuna mambo ukikurupuka unageuka kuwa mtumwa..maandiko yako wazi ..Yesu aliuliza ni nani kwenu ng'ombe wake akitumbukia shimoni siku ya sabato hata mtoa?
Imani zingine ni mateso makubwa kwakweli...wana heri wa Muabudio Mungu ktk roho na kweli na wala si kwa siku wala muandamo wa mwezi
Nilitaka kuandika kitu lakini umemaliza mkuu.Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??
Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?
Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.
Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Santa kiongoziNilitaka kuandika kitu lakini umemaliza mkuu.
Zaidi ya kiswahili sina lugha nyingine nayoweza kuandika kwa ufasaha...Kulikuwa na ulazima wa kutumia lugha hiyo?
Unaweza kumzunguzia zaidi? Je maisha yake yalivyo leo ni mabaya zaidi ya kipindi hicho alichokataa interview siku ya Sabato?Jamaa yangu aliitwa kufanya interview kwa mkemia mkuu jmos akaacha kwenda kisa tuu ni sabato
Je kuna sehemu yoyote ktk Biblia Yesu alifanya/zungumzia (kuhusiana na Sabato) kazi tofauti zaidi ya kuokoa uhai (mfano : kuponya, kula n. k)?Ila yesu alisema sio vibaya kutenda yaliyo mema siku ya sabato. Kuna vyuo kama tumaini na sauti hivi ni vya dini kabisa tena vina dressing code kwahyo huwez kukuta mavazi mabaya wala pombe hadi maaskofu wana hudhuria. Kwanini msishiriki?