LIKE
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 4,765
- 9,914
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??
Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?
Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.
Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
nahau mpya kila week.!
Fanya kufafanua..
~maana ya visabato masalia!
~na makali.o ya konk konk.?