Vyuo 10 Bora Tanzania 2019

Vyuo vyangu bora ni Vyuo vya afya vyote, vyuo vya kilimo vyote, vyuo vya veta vyote ... Hizi ni vyuo vinavyonigusa maisha yangu ya kila siku ...


Hao Udsm zaidi ya kutuongezea idadi ya mafisadi sion lingine kama mchango katika maisha ya kila siku.
 
Wale mnaoappy msiendeende Tu ilimradi umepata chuo .chagua chuo Bora na kozi Bora na unayoipenda.

List ya mwaka huu hiyo kadri ya unilinkView attachment 1186635
Vyuo bora vya kozi ya Uhasibu kwa mujibu wa sisi waajiri mimi nikiwemo ni
1. Mzumbe University
2. Institute of Accountancy Arusha
3. University of Dar es Salaam
4. Tanzania Institute of Accountancy
5.
6.
 
kuna factors nyingi huwa wanaangalia hawakurupuki ww kama umesoma vyuo vya Kata shauri yako tambua point zako hazikukutosha kwenda ud au sua
Tunachoa angalia ugali kinywani vyuo havikupi utajiri.. pia kukumbatia sifa ya chuo huo pia ni dalili ya umasikini..
 
Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Hapo sasa.
 
Huyo wa udsm anamiliki nini sasa kama sio passo na nyumba ya vyumba vitatu wakati kuna muuza mbao la saba hakijui chuo chochote lkn account inasoma biliion
Kwani lengo kuu la elimu ni kumfanya mtu awe tajiri? Mbona kwa wenzetu huko Ulaya na Marekani ukienda unakuta hata Profesa tena mashuhuri kabisa duniani kote anaishi maisha ya kawaida tu na anakuja chuoni kwa baisikeli, pikipiki au kiCorolla? Waafrika sisi yaani bado sana aisee...

Huwa nashauri watu kuwa, kama unataka mtoto wako awe tajiri usimpeleke chuo. Utakuwa unampotezea muda. Akimaliza form 4 au 6 mwingize kwenye ujasiriamali. Aanze kupata uzoefu. Baada ya miaka 10 pengine atakuwa na akaunti inayosoma mabilioni kama huyu muuza mbao unayemtaja na mwenzake aliyeenda chuo atakuwa bado tu anahenya. Wahindi hufanya hivi. Vikozi husika vifupi fupi tu halafu hao kwenye ujasiriamali.

Tuliletewa elimu hii ya vitabuni na wazungu. Hatukujua hasa lengo lake ni nini. Na bado hatujui lengo lake hasa ni nini. Tunayo safari ndefu sana
 
Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Athari ya mifumo yetu ya elimu imekuharibu...ety science na art Hadi vyuo vikuu....huu upuuzi sijui utaisha lini.
Wanasayansi wenyewe hapa bongo ni utopolo mtupu....
Wana'art ndo usiseme wote wamehamia bongo fleva na kufuga dreads.....
 
Chuo cha mabwana shamba na mabwana mifugo kinakimbiza ile mbaya kila mwaka namba 2.Sjui vyuo vingine vinafeli wapi.Sjutii kusoma SUA japo Postgraduate watanisamehe sirudi tena pale kujila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi takwimu za kubumbwa ama Huwezi sema eti muslim un ni bora kuliko Tumaini University waulize wa wa Rwanda wao wanaamini tumaini ndio chuo bora kuliko hada u dom
 
Hii list ni batili baada tu ya kuona hiyo namba 10! MUM Kiwe kwenye top 10??? Halafu Mzumbe isiwemo???



Hii sasa ni chai, wacha nimalizie kitimoto yangu, MuM ni cha mwisho TZ
 
habari zak KUSCREENSHOT vitu kutokea FB page za Udaku na kuleta huku hatutaki....
Unafananisha vyuo vya kada mbali mbali na kushindanisha umeona watu...unampambanisha mtu wa MUHAS na SUA na MUST kwel kweny kundi moja na kigezo gan kimetumika...UTOPOLO wewe
 
Back
Top Bottom