MESHACK WARIOBA
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,068
- 1,174
Perfect kabisa mkuu, Kwa waliosoma Tz na Ulaya wanaweza kuelewa;Elimu ya bongo ni ile ile tu regardless umesoma wapi..utofauti upo kidogo sana
Perfect kabisa mkuu, Kwa waliosoma Tz na Ulaya wanaweza kuelewa;Elimu ya bongo ni ile ile tu regardless umesoma wapi..utofauti upo kidogo sana
Nashangaa hataTumain university,Kcmc,Bugando,havipo?Mzumbe...!!!!!!!!??
Hahaha pole sana, kusoma vyuo vya kata ndio vyuo gani hivyo?kuna factors nyingi huwa wanaangalia hawakurupuki ww kama umesoma vyuo vya Kata shauri yako tambua point zako hazikukutosha kwenda ud au sua
Imebidi Nichekeee Kwanza #Amazon College# Waulize Waliosoma HAPO saiz wanafanya Kaz Sector Gan?Angalia chuo changu kiko nafasi ya ngapi. (Amazon college)
Una mawazo mazuri sana Mkuu,Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
HahahahahaSasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Comment bora kabisa.Una mawazo mazuri sana Mkuu,
labda nikuulize,hapa Tanzania Kuna specialization za Vyuo?
Vyuo vikuu vya science ni vipi?
sababu siku hizi hata suo unakuta wana Business Administration,Muhimbili wa Science ya Binadamu wakati Udsm wana science ya Engineering vitu,Udom wana vyote...science,sanaa,biashara nk,Mzumbe wana Biashara,sheria,social science nk,sasa hebu naomba utoe Muongozo wako ili wasomaji tuelewe criteria zipi unataka ziwekwe ktk kutofautisha vyuo vikuu?
Wengine wanaangalia number of Phd,wengine researches published,Internationala journals,nk nk
Point hii kabisa kabisaSasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Mkuu tuna vyuo vya Sayansi na vinajiita hivyo kabisa, mfano Chuo cha sayansi ya tiba Muhimbili, Bugando n.kUna mawazo mazuri sana Mkuu,
labda nikuulize,hapa Tanzania Kuna specialization za Vyuo?
Vyuo vikuu vya science ni vipi?
sababu siku hizi hata suo unakuta wana Business Administration,Muhimbili wa Science ya Binadamu wakati Udsm wana science ya Engineering vitu,Udom wana vyote...science,sanaa,biashara nk,Mzumbe wana Biashara,sheria,social science nk,sasa hebu naomba utoe Muongozo wako ili wasomaji tuelewe criteria zipi unataka ziwekwe ktk kutofautisha vyuo vikuu?
Wengine wanaangalia number of Phd,wengine researches published,Internationala journals,nk nk
Hiyo takwimu nilishawahi iona sehemu, nilishangaa sana kwakweli.....Nashangaa hataTumain university,Kcmc,Bugando,havipo?
1.KIUHahahahaha
Mkuu naomba kujua vyuo vyako 5 bora kwa sheria Tz
KIU haha!1.KIU
2. SAUT
3. UDOM hivi kwangu ni bora mkuu
Sawa sawa ila naomba utoe iyo SAUT hapo... mimi kwangu itasimama hivi1.KIU
2. SAUT
3. UDOM hivi kwangu ni bora mkuu
Iyo KIU watu wanaiogopa sana sababu ya mambo yakeKIU haha!
Kampala International University nimesoma chuo uchwara sana hakuna lolote pale nilisoma one year nikaacha na kujumlisha kutosajiliwa kwa course yangu ndo nikaamua kuquit kbs....
But KIU ni chuo cha wavivu....
Labda kuna vigezo wanaangalia Mkuu,vema ukatafiti ni vigezo gani wanatumia,mfano Phds,Researches,Enrollments,nk nk,sina uhakika vigezo vipi huwa vinahitajika international standard,Unaweza kusearch ukatusaidia kwa Faida ya wengi.Mkuu tuna vyuo vya Sayansi na vinajiita hivyo kabisa, mfano Chuo cha sayansi ya tiba Muhimbili, Bugando n.k
.
Sua pia ni chuo cha sayansi, sasa wangeviweka katika category tofauti tofauti kuainisha ubora wake kwa sababu gani mtu anayesoma MUHAS ukimwambia SAUT ni bora kuliko chake hawezi kukuelewa na anayesoma SAUT hivyohivyo atabisha.