Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,345
- 1,223
Labda ana maana ya majengo na maeneo vilipo.Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?