Vyuo 10 Bora Tanzania 2019

Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Labda ana maana ya majengo na maeneo vilipo.
 
Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Kwanza wanapanga vyuo bora kwa ujumla wake. Hapa wanaangalia mambo mengi mf. Facilities zilizopo, ratio ya walimu na wanafunzi, Quality ya walimu (Phd holders au ni wabangaizaji tu), idadi ya wahitimu wa shahada za juu kila mwaka na muhimu zaidi utafiti na idadi ya machapisho katika peer reviewed journals za kimataifa pamoja na academic books. Hii ni kwa kuangalia chuo kwa ujumla wake.

Wakimaliza hiyo ya jumla wanakuja sasa hiki unachokisema - ubora wa program moja moja. Hata hapa napo vigezo vinafanana fanana. Japo UDSM kinaweza kuwa chuo bora katika ujumla wake lakini hii haina maana kuwa kina program bora zaidi kuliko vyuo vingine. Of course Medicine itakuwa Muhimbili, Kilimo SUA n.k

Mwaka huu kwa mfano MIT nadhani ndiyo chuo nambari wani duniani lakini hawa sana sana ni wazuri kwenye Engineering na mambo ya sayansi. Ukitaka sheria na MBA pengine itabidi uende Harvard. Medicine John Hopkins. Management UCLA...Political Science Berkeley...

Ndivyo ilivyo !!!
 
Una mawazo mazuri sana Mkuu,
labda nikuulize,hapa Tanzania Kuna specialization za Vyuo?
Vyuo vikuu vya science ni vipi?
sababu siku hizi hata suo unakuta wana Business Administration,Muhimbili wa Science ya Binadamu wakati Udsm wana science ya Engineering vitu,Udom wana vyote...science,sanaa,biashara nk,Mzumbe wana Biashara,sheria,social science nk,sasa hebu naomba utoe Muongozo wako ili wasomaji tuelewe criteria zipi unataka ziwekwe ktk kutofautisha vyuo vikuu?
Wengine wanaangalia number of Phd,wengine researches published,Internationala journals,nk nk
Ona vigezo walivyotumia
Screenshot_20190821-135506.jpeg
 
Labda kuna vigezo wanaangalia Mkuu,vema ukatafiti ni vigezo gani wanatumia,mfano Phds,Researches,Enrollments,nk nk,sina uhakika vigezo vipi huwa vinahitajika international standard,Unaweza kusearch ukatusaidia kwa Faida ya wengi.
Kuna KITU PIA UMESEMA Kwa shule za sekondari pia kuzilinganisha zote...
Hiz ndo international standards walizotumia
Screenshot_20190821-135506.jpeg
 
Kwanza wanapanga vyuo bora kwa ujumla wake. Hapa wanaangalia mambo mengi mf. Facilities zilizopo, ratio ya walimu na wanafunzi, Quality ya walimu (Phd holders au ni wabangaizaji tu), idadi ya wahitimu wa shahada za juu kila mwaka na muhimu zaidi utafiti na idadi ya machapisho katika peer reviewed journals za kimataifa pamoja na academic books. Hii ni kwa kuangalia chuo kwa ujumla wake.

Wakimaliza hiyo ya jumla wanakuja sasa hiki unachokisema - ubora wa program moja moja. Hata hapa napo vigezo vinafanana fanana. Japo UDSM kinaweza kuwa chuo bora katika ujumla wake lakini hii haina maana kuwa kina program bora zaidi kuliko vyuo vingine. Of course Medicine itakuwa Muhimbili, Kilimo SUA n.k

Mwaka huu kwa mfano MIT nadhani ndiyo chuo nambari wani duniani lakini hawa sana sana ni wazuri kwenye Engineering na mambo ya sayansi. Ukitaka sheria na MBA pengine itabidi uende Harvard. Medicine John Hopkins. Management UCLA...Political Science Berkeley...

Ndivyo ilivyo !!!
Hivyo ndo vigezo
Screenshot_20190821-135506.jpeg
 
Ungesema wawemakini kwenye kuchagua kozi na sio chuo...huwaga tunachagua kozi ndio unaangalia nikasomee chuo gani iweje nitake nikasome logistics alafu unambie mambo ya SUA, UDSM nk.
 
Nimeona mkuu, shida yangu iko palepale mtu anaesoma MD akisema chuo chake bora ni MUHAS na wakati huohuo mtu anaesoma engineering akisema chuo chake bora ni UDSM alafu hapohapo anakuja mkulima anasema kwake SUA ni bora yupi utambishia na nani utamkubalia?
Wapo MD wa UDSM na MD hawa wa MUHAS inategemea unaongea na yupi.
Zamaani tulikuwa MUCHS of UDSM, sifahamu nani alikuja na wazo la MUHAS na sijui tatizo lilikuwa nini hadi kufikia huko.
 
Wapo MD wa UDSM na MD hawa wa MUHAS inategemea unaongea na yupi.
Zamaani tulikuwa MUCHS of UDSM, sifahamu nani alikuja na wazo la MUHAS na sijui tatizo lilikuwa nini hadi kufikia huko.
Kuna thread nilianzisha humu kuwa muhimbili na Ardhi university zirudi UDSM
 
Wapo MD wa UDSM na MD hawa wa MUHAS inategemea unaongea na yupi.
Zamaani tulikuwa MUCHS of UDSM, sifahamu nani alikuja na wazo la MUHAS na sijui tatizo lilikuwa nini hadi kufikia huko.
Zamani MUHAS ilikuwa sehemu ya UD
 
Kwanza wanapanga vyuo bora kwa ujumla wake. Hapa wanaangalia mambo mengi mf. Facilities zilizopo, ratio ya walimu na wanafunzi, Quality ya walimu (Phd holders au ni wabangaizaji tu), idadi ya wahitimu wa shahada za juu kila mwaka na muhimu zaidi utafiti na idadi ya machapisho katika peer reviewed journals za kimataifa pamoja na academic books. Hii ni kwa kuangalia chuo kwa ujumla wake.

Wakimaliza hiyo ya jumla wanakuja sasa hiki unachokisema - ubora wa program moja moja. Hata hapa napo vigezo vinafanana fanana. Japo UDSM kinaweza kuwa chuo bora katika ujumla wake lakini hii haina maana kuwa kina program bora zaidi kuliko vyuo vingine. Of course Medicine itakuwa Muhimbili, Kilimo SUA n.k

Mwaka huu kwa mfano MIT nadhani ndiyo chuo nambari wani duniani lakini hawa sana sana ni wazuri kwenye Engineering na mambo ya sayansi. Ukitaka sheria na MBA pengine itabidi uende Harvard. Medicine John Hopkins. Management UCLA...Political Science Berkeley...

Ndivyo ilivyo !!!
Bado haujanipatia ufumbuzi wa shida yangu mkuu, je haiwezekani kuvigawanya kulingana na kada husika?
.
Haya sasa mfano mimi Mkulima wa SUA nimebisha kuwa UDSM sio chuo bora kuliko SUA utakuwa na hoja za kunipinga?
 
KIU haha!
Kampala International University nimesoma chuo uchwara sana hakuna lolote pale nilisoma one year nikaacha na kujumlisha kutosajiliwa kwa course yangu ndo nikaamua kuquit kbs....
But KIU ni chuo cha wavivu....
Hahahaha.
Kwamba wanafunzi wa KIU ni matoroli hawaendi hadi washikwe nyuma
 
Back
Top Bottom