Bado haujanipatia ufumbuzi wa shida yangu mkuu, je haiwezekani kuvigawanya kulingana na kada husika?
.
Haya sasa mfano mimi Mkulima wa SUA nimebisha kuwa UDSM sio chuo bora kuliko SUA utakuwa na hoja za kunipinga?
Wewe uliyeenda una Nini cha ziada.Mbona Bash boy hajasoma UD na anamaisha mazuri kuliko Mtz yoyote yule.kuna factors nyingi huwa wanaangalia hawakurupuki ww kama umesoma vyuo vya Kata shauri yako tambua point zako hazikukutosha kwenda ud au sua
Msitusumbue mwishowe mtataka mwanafunzi mwenye nidhamu anatoka chuo gani.hii ni general classification ukion unaongoza kwenye law juwa umeshindwa kwenye sports na bookkeeping.Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
RUCU ni nini na inapatikana wapi? kwa faida ya watanzania mkuu tuwambieHIYO LIST NI MBWEMBWE TU... KUNA CHUO KINAITWA RUCU chuo hiki to me ni the best university in TZ
kuwa serious mkuuAngalia chuo changu kiko nafasi ya ngapi. (Amazon college)
google itRUCU ni nini na inapatikana wapi? kwa faida ya watanzania mkuu tuwambie
Hiyo imetolewa na university link world wide .
Ingia unlink utaona top universities kila nchi.
Zamani HAIKUWA, MUHAS, zamani ilikuwa MUCHS of the UDSM.Zamani MUHAS ilikuwa sehemu ya UD
Wewe unaakili, hii MUHAS nahisi imepwaya, labda kwasababu nilisoma enzi za MUCHS.Kuna thread nilianzisha humu kuwa muhimbili na Ardhi university zirudi UDSM
Hapo ndipo sintofahamu inapoanziaga, kwa mfano chuo bora kwa upande wa Mass communication kwa East Africa nzima ni SAUT, MUHAS afya, sasa mtu akigeneralize tu inakuwa haileti maana. Ni vyema hawa wanaotoa orodha ya ubora wa vyuo wawe wanaeleza ubora wake upo katika nyanja ipi hii itawasaidia wake wanaotaka kuomba vyuo.Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Ngoja nimsaidie kidogo, vyuo vikuu vya science ni Dar es salaam institute of Technology DIT, ATC Arusha, MUST Mbeya, Hawa ndio miamba kwenye hizo nyanja.Una mawazo mazuri sana Mkuu,
labda nikuulize,hapa Tanzania Kuna specialization za Vyuo?
Vyuo vikuu vya science ni vipi?
sababu siku hizi hata suo unakuta wana Business Administration,Muhimbili wa Science ya Binadamu wakati Udsm wana science ya Engineering vitu,Udom wana vyote...science,sanaa,biashara nk,Mzumbe wana Biashara,sheria,social science nk,sasa hebu naomba utoe Muongozo wako ili wasomaji tuelewe criteria zipi unataka ziwekwe ktk kutofautisha vyuo vikuu?
Wengine wanaangalia number of Phd,wengine researches published,Internationala journals,nk nk
Logistic nenda NIT mkuu.Ungesema wawemakini kwenye kuchagua kozi na sio chuo...huwaga tunachagua kozi ndio unaangalia nikasomee chuo gani iweje nitake nikasome logistics alafu unambie mambo ya SUA, UDSM nk.
Wale mnaoappy msiendeende Tu ilimradi umepata chuo .chagua chuo Bora na kozi Bora na unayoipenda.
List ya mwaka huu hiyo kadri ya unilinkView attachment 1186635