Vyuo 10 Bora Tanzania 2019

instanbul

JF-Expert Member
Jun 26, 2016
11,438
14,397
Wale mnaoappy msiendeende Tu ilimradi umepata chuo .chagua chuo Bora na kozi Bora na unayoipenda.

List ya mwaka huu hiyo kadri ya unilink
Screenshot_20190808-105553.jpeg
 
Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
 
Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Hiyo imetolewa na university link world wide .

Ingia unlink utaona top universities kila nchi.
 
Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Utaratibu wa kupanga hizo trend hata mimi huwa napata shida sana. Specification hakuna mtu anashidwa kujaji kabisa yaani... Sasa labda tumuulize mleta Uzi kuwa criteria ni nini hapo kwa hiyo classification yake
 
Hiyo imetolewa na university link world wide .

Ingia unlink utaona top universities kila nchi.
Nimeona mkuu, shida yangu iko palepale mtu anaesoma MD akisema chuo chake bora ni MUHAS na wakati huohuo mtu anaesoma engineering akisema chuo chake bora ni UDSM alafu hapohapo anakuja mkulima anasema kwake SUA ni bora yupi utambishia na nani utamkubalia?
 
Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
kuna factors nyingi huwa wanaangalia hawakurupuki ww kama umesoma vyuo vya Kata shauri yako tambua point zako hazikukutosha kwenda ud au sua
 
Nimeona mkuu, shida yangu iko palepale mtu anaesoma MD akisema chuo chake bora ni MUHAS na wakati huohuo mtu anaesoma engineering akisema chuo chake bora ni UDSM alafu hapohapo anakuja mkulima anasema kwake SUA ni bora yupi utambishia na nani utamkubalia?
Hilo unaloongea ni kweli kabisa.

Lakini vyuo hawaangalii kozi Tu .
Hata accomodation pia
 
Back
Top Bottom