Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.
Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?
Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,
Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.
Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.
La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.
Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.
Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.
Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?
Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,
Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.
Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.
La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.
Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.
Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.
Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.