Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ipunguzwe wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6, pia pesa ya books and stationary iondolewe au nayo ipunguzwe.

Sina mood

JF-Expert Member
Nov 15, 2018
237
1,405
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
 
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
Nini kinachokusumbua? Ni taahira ya akili, au ni wazimu?
 
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
Mwenzako aliomba radhi 😁😁
 
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
Elim ya chuo iwe Bure,yaani fedha za Ada zitumike kununua mahitaji ya chuo!!

Hostel na chakula viwepo chuoni,wanachuo wapewe fedha za staitonery TU na kujikimu mahitaji madogo tu!!

Hakuna haja ya kuwakopesha wanachuo fedha ambazo hawana uhakika was kuzirudisha kwasababu ya kukosa ajira!!
 
Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?
Nashauri pesa iongezwe iwe 15,000 au 20,000 kwa siku.
Kwani ni mkopo, wakipata kazi watalipa.

Habari za mume na mke na watoto, hata wanachuo wanaweza kuoana na kuzaa pia.
 
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
Kama wabunge wanalipwa zaidi ya lak 3 kwa kusema ndio, mwisho wa mwezi zaidi ya milion 13, mafuta lita 1000 kwa wmezi, na kiinua mgongo cha miaka 5 zaidi ya mls 250 ambazo zote hizo ni pesa za walipa kodi, basi waache wanafunzi wapewe hiyo pesa maana ni mkopo wakimaliza wataulipa.
Punguzeni makasiriko sio kila kijana hiyo pesa anaitumia kwenye ulevi.
 
Nashauri pesa iongezwe iwe 15,000 au 20,000 kwa siku.
Kwani ni mkopo, wakipata kazi watalipa.

Habari za mume na mke na watoto, hata wanachuo wanaweza kuoana na kuzaa pia.
Kama hoja ni mkopo basi mkopo upunguzwe maana mkopo sio deni kwa mtoaji.

Pesa ipunguzwe ,maana hata wakimaliza wanaobahatika kupata ajira ni wachache hivyo kiwango kubwa cha pesa kimaisha kupoteza tu juu kwa juu
 
Back
Top Bottom