Tujisahihishe Tz
Platinum Member
- Nov 17, 2011
- 3,061
- 1,367
HUKUMU YA ZITTO:
Kwa sasa bado hukumu haijaanza kusikilizwa lakini kuna vurugu nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kati ya kikundi cha Zitto na kile kinachompinga ambavyo vinarushiana mawe na polisi wanajaribu kukabiliana nao!
Kwa sasa bado hukumu haijaanza kusikilizwa lakini kuna vurugu nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kati ya kikundi cha Zitto na kile kinachompinga ambavyo vinarushiana mawe na polisi wanajaribu kukabiliana nao!