Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Wezi wakubwa, mitandao mingine ukiwa kwenye bundle punde tu ikiisha wanakuambia bundle yako imeisha na utakuta salio lako intact, Thubutu vodacom.
Ukiweka pesa kabla hujajiunga wanakula mara unaambiwa salio lako halitoshi.
Halafu na hivyo vi bundle vyao vya mb 25 na sec 60 kwenda mitandao mingine so sickening ....
Ukiweka pesa kabla hujajiunga wanakula mara unaambiwa salio lako halitoshi.
Halafu na hivyo vi bundle vyao vya mb 25 na sec 60 kwenda mitandao mingine so sickening ....